Skip to main content

Full text of "A Brief Guide to Understanding Islam"

See other formats


KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA 
REHEMA MWENYE KUREHEMU 



MUONGOZO WA 

KUUFAHAMU UISLAMU KWA UFUPI NA KWA 

KUTUMIA VIELELEZO VYA PICHA 



I.A.Ibrahim 
Wahakiki Kiujumla Wahakiki wa Kisayansi 



Dr. William (Daoud) Peachy 

Michael (Abdul-Hakim) Thomas 

Tony (Abu-Khaliyl) Sylvester 

Idris Palmer 

Jamaal Zarabozo 

Ali AlTimimi 



$Hg 



Professor Harold Stewart kuofi 

Professor F. A . State 

Professor Mahjoub O. Taha 

Professor Ahmad Allam 

Professor Salman Sultan 

Professor Msaidizi H. O. Sindi 




Muongozo Wa Kuufahamu Uislamu Kwa Ufupi Na Kw; 



Kimefasiriwa na Mr. Zubeir Ndarawa, 

Mwanafunzi katika Kitivo cha Lugha na 

Ukalimani, Chuo Kikuu cha Al-Azhar, 

Na ni Mwanachama wa Tanzania Students Union (TSU) Cairo. 

(A.R.E) 
Tafsiri imehakikiwa na: 



Mr. Omari Juma Mangilile, 

Mwanafunzi katika Kitivo cha 

malezi na ualimu kiwango cha 

shahada ya pili (master) chuo kikuu 

cha Cairo, 

Na ni Mwanachama wa Tanzania 

Students Union (TSU) 

E mail: mangilile@yahoo.com 

Cairo. (A.R.E). 



Mr. Habshi Hassan, 

Mwanafunzi katika Kitivo 

cha Lugha na Ukalimani, 

Chuo Kikuu cha 

Al-Azhar, 

Na ni Mwanachama wa 

Tanzania Students Union 

(TSU) 

Cairo. (A.R.E) 



Chini ya usimamizi wa Jumuia ya Tabligh Islamiya ya Misr 

P. O. BOX 834 Alexandrie Egypt 
E_mail : inf o_en @ islamic-message.net 
cims_eg @ yahoo.com 
www.islamic-message.net 



Kwa Ushauri au Maoni 
Kama utakuwa na Ushauri au Maoni yoyote juu ya tafsiri 
ya kiswahili ya kitabu hiki au ungependa kujua zaidi kuhusu 
kitu chochote chenye kuhusiana na mambo ya kufasiri vitabu n.k 
tafadhali wasiliana na Mfasiri wa kitabu hiki Mr. Zubeir 
Ndarawa kwa anuani zifuatazo: ndarawa @ hotmail.com au 
ndarawa @ yahoo.com 
Ahsanteni. 

P. O. BOX 834 Alexandrie Egypt 
E_mail: info_en@ islamic-message.net 
cims_eg @ yahoo.com 
www.islamic-message.net 



YALIYOMO 



MAKALA UKURASA 

UTANGULIZI 6 

SURA 1 9 

BAADHI YA VITHIBITISHO JUU 
YA UKWELI WA UISLAMU 9 

(1) Miujiza ya Kisayansi ndani ya Qur'an Tukufu 9 

A) Qur'an na ukuaji wa mimba: 10 

B) Qur'an naMilima: 17 

C) Qur'an na asili ya ulimwengu 20 

D) Qur'an naUbongo 23 

E) Qur'an, Bahari naMito: 25 

F) Qur'an Bahari za vina virefu na Mawimbi ya ndani kwa ndani 27 

G) Qur'an naMawingu 30 

H) Maelezo ya Wanasayansi juu ya Miujiza ya kisayansi ndani ya Qur'an 35 

(2 ) Changamoto Kuu ya Kuunda Sura Moja kama Sura za Qur'an Tukufu .42 

(3 ) Utabiri wa Biblia juu ya kuja kwa Muhammad * Mtume wa Uislamu 44 

1) Nabii kama Musa: 45 

2) Ni miongoni mwa ndugu wa waizraeli: 46 

3) Mwenyezi Mungu ataweka Maneno yake katika kinywa cha Nabii huyu: 46 

(4 ) Ay a za Qur'an Ambazo zimeeleza kutokea Matukio katika Siku za mbele 
na Kisha Yakatokea 47 

(5) Miujiza iliyofanywa na Mtume Muhammad *» 49 

(6) Maisha ya hali ya chini ya Muhammad *». 49 

(7) Ukuaji wa ajabu wa Uislamu 54 

BAADHI YA FAIDA ZA UISLAMU 
56 

SURA 2 56 

(1) Mlango wa Kuingia Peponi 56 

(2 ) Wokovu wa Kuepukana na Moto 58 

(3) Furaha ya Kweli na Amani Moyoni 59 

( 4 ) Msamaha wa Dhambi Zote Zilizotangulia 60 



^^^^ 










Muongozo Wa Kuufaharai 


i Uislamu Kwa I 


Jfupi Na Kwa 


Kutumia Vielelezo Vya Picha 







SURA 3 

MAELEZO YA JUMLA JUU YA 
UISLAMU 



62 



62 



Uislamu Ni Nini? 62 

Baadhi ya Misingi ya Imani ya Kiisilamu 62 

Je kuna Chanzo Kitakatifu KingineZaidi ya Qur'an? 67 

Mifano ya Maneno ya Mtume Muhammad ^ 68 

Uislamu unasema nini kuhusu siku ya Kiyama? 69 

Vipi Mtu atakuwa Muislamu? 72 

Qur'an Inahusika na nini? 73 

Mtume Muhammad ^ Ni nani? 74 

Kusambaa kwa Uislamu Kumeleta Athari gani katika Maendeleo ya 

kisayansi? 76 

Waislamu Wanaamini ninijuu ya Yesu? 77 

Uislamu Unasemaje kuhusu Ugaidi? 81 

Haki za Binadam na Uadilifu katika Uislamu 83 

Mwanamke ana Nafasi gani katika Dini ya Kiislamu? 86 

Familia katika Uislamu 87 

Waislamu Wanawatendea vipi Wazee? 87 

Ni Zipi Nguzo Tano za Uislamu? 88 

Uislamu Nchini Marekani 92 

Kwa Maelezo Zaidi Kuhusu Uislamu 93 

Kwa ushauri na maonijuu ya kitabu Hiki 95 

Kwa kijisomea zaidi kuhusu Uislamu 96 

Vitabu vya Marejeo 96 

Nambari za hadithi 101 







■ 


M U C„ g O ZC 


^^a Kuufahamu Uislamu Kwa Ufupi Na Kwa Kutumia Vielelezo^ 


^ 



UTAI6ULI1I 



Kitabu hiki ni muongozo mfupi wa kuufahamu Uislamu. Nacho kina 
Sura tatu. 

Sura ya kwanza, "Baadhi ya vithibitisho juu ya ukweli wa 

Uislam," Sura hiyo inajibu baadhi ya maswali muhimu ambayo 

watu wanayauliza: 

. Je ni kweli kwamba Qur'an ni maneno halisi ya Mungu, 

yaliyofunuliwa toka kwake ? 

. Je ni kweli kuwa Muhammad Hi 1 ni Mtume alietumwa na Mungu? 

. Je ni kweli kuwa Uislamu ni Dini ya 

Mungu ? 

Katika sura hii, zimetajwa aina sita za 

ushahidi: 

1) Miujiza ya kisayansi ndani ya Qur'an 

tukufu: Sehemu hii inazungumzia (kwa 

picha) baadhi ya hakika (facts) za uvumbuzi 

wa kisasa wa kisayansi zilizotajwa katika 

Qur'an tukufu, ambayo ilikwishafunuliwa 

karne kumi na nne zilizopita. 



2) Changamoto Kuu ya Kuunda Sura 
Moja kama Sura za Qur'an Tukufu: Katika Qur'an, Mungu 
amewapa changamoto watu wote watunge sura moja iliyo kama sura 
za Qur'an. Tangu kufunuliwa kwa Qur'an, karne kumi na nne 
zilizopita, mpaka leo, hakuna mtu aliyeweza kuifikia changamoto hii, 




1 Maneno haya ya kiarabu «», maana yake 'Mungu ampe rehema na amani' 





mgozo Wa Kuufahamu Uislamu Kwa Ufupi Na Kwa 


Kutumia Vielelezo Vyii . icna 



ingawa sura ndogo sana ya Qur'an ni (sura ya 108) yenye jumla ya 
maneno kumi tu. 



3) Utabiri wa Biblia kuhusu kuja kwa Muhammad $», Mtume 
wa Uislamu: Katika sehemu hii, kumejadiliwa baadhi ya utabiri wa 



Biblia kuhusu kuja kwa Mtume Muhammad 3®. 

4) Aya za Qur'an ambazo zimeeleza kutokea matukio katika siku 
za mbele na kisha yakatokea: Qur'an ilielezea kutokea kwa 
Matukio siku za mbele na ambayo baadae yakatokea, kwa mfano 
ushindi wa Warumi dhidi ya Wafursi (Wairani). 



5)Miujiza iliyofanywa na Mtume Mohammad s»»: 

Miujiza mingi ilifanywa na Mtume Muhammad t%® Miujiza hiyo 
ilishuhudiwa na watu wengi. 



6) Maisha ya Hali ya Chini ya Muhammad 



Hii 



inaonyesha wazi kuwa Muhammad sH hakuwa mtume wa uongo 
aliedai utume ili apate kuchuma mali, ukubwa au madaraka. 

Kutokana na aina hizi sita za ushahidi, 
tunahitimisha kuwa: 

■ Qur'an lazima itakuwa ni maneno hilisi ya Mungu, 
yaliyofunuliwa naye. 

■ Muhammad |§ ni Mtume wa kweli alietumwa na Mungu. 

■ Uislamu ni Dini ya kweli ya Mungu. 

Ikiwa tunataka kufahamu kama dini ni ya kweli au ya uwongo, 
hututakiwi kutegemea miono yetu, mawazo, au tamaduni. Heri, 
tutegemee hoja na akili. Mungu alipowatuma mitume, aliwapa nguvu 
kwa miujiza na ushahidi ambao ulithibitisha kuwa wao ni mitume wa 
kweli waliotumwa na Mungu na kwa hiyo dini waliokuja nayo ni ya 
kweli. 







■ 


M U C„ g O ZC 


^^a Kuufahamu Uislamu Kwa Ufupi Na Kwa Kutumia Vielelezo^ 


^ 



Sura ya pili, "Baadhi ya Faida za Uislamu," inataja 
baadhi ya faida ambazo zinatolewa na Uislamu kwa kila 
mtu, kwa mfano: 

1) Mlango wa Kuingia Peponi 

2) Wokovu wa Kuepukana na Moto 

3) Furaha ya Kweli na Amani Moyoni 

4) Msamaha wa Dhambi Zote Zilizotangulia. 



Sura ya tatu, "Maelezo ya Ujumla kuhusu Uislamu," 

inatoa maelezo ya ujumla kuhusu Uislamu, inasahihisha ufahamu 
potofu kuhusu Uislamu, na inajibu baadhi ya maswali yanayoulizwa 
mara mara, kama vile: 

■ Uislamu unasemaje kuhusu Ugaidi? 

■ Mwanamke ana nafasi gani katika Uislamu? 



Sura 




Mwenyezi Mungu amempa nguvu Mtume wake wa mwisho 



Muhammad »s§ kwa Miujiza mingi na Ushahidi mwingi ambao 
unathibithisha kuwa yeye ni mtume wa kweli alietumwa na Mungu. 
Vile vile Mwezi Mungu amekipa nguvu Kitabu chake 
alichokishusha mwisho, ambacho ni Qur'an tukufu, kwa Miujiza 
mingi ambayo inathibitisha kuwa Qur'an hii ni Maneno halisi ya 
Mungu, aliyoyafunua, na kwa hiyo Qur'an haijatungwa na mtu 
yeyote. Sura hii inajadili baaadhi ya ushahidi huo. 

(1) Miujiza ya Kisayansi ndani ya 
Qur'an Tukufu 



Qur'an ni maneno halisi ya Mwenyezi Mungu, 
ambayo aliyashusha kwa Mtume wake 



Muhammad 



kwa kupitia Malaika Gabriel. 



Qur'an ambayo ilihifadhiwa na Muhammad ssi, 
naye akawasomea Qur'an hiyo wafuasi wake. Nao, 
kwa zamu, waliihifadhi, kuiandika, na kuipitia 



pamoja na Mtume Muhammad a®. Zaidi ya hayo, 




Qur'an Takatifu 



ni neno la kiarabu lisomekalo rehema na amani zi mfikie. 



Muong 


fl^^wa Kuufahamu Uislamu Kwa Ufupi f 


«Ia Kwa Kutum 


a VielelezoJ 


m 



Mtume Muhammad $» aliipitia Qur'an pamoja na Malaika Gabriel 

kila mwaka mara moja na katika mwaka wa mwisho wa uhai wake 

4yf s 
Mtume s?s, waliipitia mara mbili. Tangu wakati iliposhushwa 

Qur'ani, mpaka leo hii, daima kumekuwepo na idadi kubwa nno ya 

Waislam ambao wamehifadhi Qur,an yote, neno kwa neno. Baadhi 

yao wameweza kuhifadhi nzima wakiwa na umri wa miaka kumi. 

Hakuna hata herufi moja ya Qur'an iliyobadilishwa ingawa karne 

nyingi zimepita. 

Qur'an, iliyoshushwa karne kumi na nne zilizopita, imeelezea 
mambo ya hakika ambayo yamevumbuliwa au kuthibitishwa na 
wanasayansi hivi karibuni tu. Hii bila ya shaka inathibitisha kuwa 
Qur'an ni lazima itakuwa ni maneno halisi ya Mungu, 
yaliyofunuliwa naye kwenda kwa Mtume Muhammad =», na kwa 
hiyo Qur'an haikutungwa na Muhammad » au na mtu yeyote. Hii pia 
inathibitisha kuwa Muhammad » ni mtume wa kweli alietumwa na 
Mungu. Haingii akilini kuwa mtu yeyote wa miaka elfu moja na mia 
nne iliyopita angelijua hakika hizi zilizogunduliwa au kuthibitishwa 
hivi karibuni tu kwa kutumia nyenzo na njia za kisayansi za kisasa. 
Baadhi ya mifano inafuata. 



A) Qur'an na ukuaji wa mimba: 

Katika Qur'an tukufu, Mwenyezi Mungu anaeleza kuhusu 
hatua za maendeleo ya ukuaji wa mimba ya binadamu: 

{Na kwa yakini tumemuumba mtu kutokana na asli ya 
udongo* Kisha tukamjaalia awe tone ya mbegu ya uzazi 

katika kalio madhubuti* Kisha tukaiumba tone kuwa 

damu iliyo ganda, na tukaiumba damu kuwa pande la 
nyama, kisha tukaliumba pande la nyama kuwa mifupa, na 
mifupa tukaivika nyama. Kisha tukamfanya kiumbe 



mwengine. Basi ametukuka Mwenyezi Mungu Mbora wa 
waumbaji) 1 . Qur'an Sura ya 23 aya 12 hadi 14. 

Asili, ya neno alaqah ni la kiarabu Una maana tatu: 
(1) Ruba (2) kitu kilichotundikwa na (3) Pande la damu ilioganda. 

Kwa kulinganisha kati ya Ruba na Kiinitete (mimba changa), 
katika hatua ya alaqah tunapata kuwa kuna kufanana kati ya vitu 
viwili hivyo, kama tunavyoweza kuona katika umbo 1. Pia, kiinitete 
katika hatua hii kinapata virutubisho kutoka katika damu ya Mama, 
sawa sawa na ruba, ambaye anakula damu ya viumbe wengine. 

Maana ya pili ya neno alaqah ni Kitu kilichotundikwa. Na hivi 
ndivyo tunavyoweza kuona katika Umbo namba 2 na 3, utundikwaji 
wa kiinitete (mimba changa), katika hatua ya alaqah kwenye mfuko 
wa uzazi wa mama. 

Na maana ya tatu ya neno alaqah ni pande la damu iliyoganda. 
Tunakuta kuwa umbo la upande wa nje wa kiinitete na mifuko yake, 
katika hatua ya alaqah, linafanana na pande la damu iliyoganda. Hii 
ni kwa mujibu wa kuwepo kiasi kikubwa cha damu iliyo katika 
kiinitete, katika hatua hii (tazama umbo 4 ). Vilevile katika hatua 
hii, damu iliyo katika kiinitete haizunguki mpaka mwishoni mwa 
wiki ya tatu. Kwa hiyo kiinitete katika hatua hii kinafanana na pande 
la damu iliyoganda. 



1 Tafadhali zingatia kuwa haya mabano maalumu { ) katika kitabu hiki 

ni tafsiri tu ya maana ya ya Qur'an. na sio Qur'an yenyewe, kwani yenyewe 

imeandikwa kwa kiarabu. Toka Tarjuma ya Qur'ani Tukufu Kwa Kiswahili. 

Sheikh Ali Muhsin Al-Barwani, unaweza kuipata katika Internet. 

~ Kitabu: The Developing Human, Moore and Persaud, 5th ed., p. 8. 

" Human Development as Described in the Qur'an and Sunnah, Moore and others, 

p. 36. 

4 Human Development as Described in the Qur'an and Sunnah, Moore and others, 

p. 37-38. 

" The Developing Human, Moore and Persaud, 5th ed., p. 65. 



Wa Kuufahamu 







Kutumia Vielelez 


o \ ya P.cha 



Kwa hiyo maana tatu za neno alaqah 
kiinitete kikiwa katika hatua ya alaqah. 



zinaafikiana na sifa za 



Hatua inayofuata ambayo imetajwa katika aya hii ni hatua ya 
Mudghah. Neno la kiarabu Mudghah maana yake ni "kitu 
kilichotafunwa". Kama mtu akichukua bazoka na kuitafuna 
mdomoni mwake kisha ilinganishwe na kiinitete kilicho katika hatua 
ya Mudghah, tutahitimisha kuwa kiinitete katika hatua ya Mudghah 
kiumbo, kinafanana na bazoka iliyotafunwa. Hii ni kwa kuwa umbo 
la uti wa mgongo wa mtoto akiwa katika hatua ya Mudghah 
linafanana kwa kiasi fulani na athari za meno katika bazoka 
iliyotafunwa. ( tazama umbo 5 na 6) 



Vipi Muhammad s» angeweza kupata uwezo wa kufahamu 
mambo yote haya tangu karne kumi na nne zilizopita, wakati 
wanasayansi ni hivi karibuni tu ndio wamegundua yote hayo kwa 
kutumia vyombo vya hali ya juu na darubini zenye nguvu ambazo 
hazikuwepo wakati ule? Hamm na Leeuwenhoek walikuwa ni 
wanasayansi wa mwanzo kugundua viini vya mbegu za uzazi za 
Mwanadamu (Spermatozoa) kwa kutumia darubini zenye kiwango 
cha hali ya juu mwaka 1677 (zaidi ya miaka 1000 baada ya kufariki 
Muhammad (S.A.W.). Nao kwa bahati mbaya walidhani kuwa kiini 
cha mbegu za uzazi za binadamu kina kijimtu kidogo dogo ambacho 
hukua wakati kinapowekwa katika eneo la mfumo wa uzazi wa 
mwanamke 3 . 



Bazoka, Ubani wa kutafuna, bigijii, Gum 



The Developing Human, Moore and Persaud, 5th ed., p. 8. 

The Developing Human, Moore and Persaud, toleo la tano, ukurasa wa ! 



■ 


' _-■ 




Muons 


p^TWa Kuufahamu Uislamu Kwa Ufupi Na Kwa 


Kutumia Vielelezo Vya . icna 



A-Kiinitete - Mimba 



Ubongo 



Moyo 



Ncha mbili za ganda la amnion 
zinazokizunguka kiinitete 




B-Ruba 




Umbo 1: Michoro inaonyesha mfanano wa maumbo kati ya ruba na mimba ya binadamu 
katika hatua ya alaqah. (Mchoro wa ruba, umechukuliwa toka kwenye kitabu:"Human 
Development as Described in the Qur'an and Sunnah, Moore and others" ukurasa 37, 
ambapo ulifanyiwa uboreshaji toka katika kitabu "Integrated Principles of Zoology"Hickman 
and others. Mchoro wa Kiinitete, toka katika kitabu, Developing Huaman, Moore and 
Persaud, toleo la tano ukurasa wa 73.) 



Umbo 2: Tunaona katika mchoro 
huu, uninglniaji wa kiinitete katika 
hatua ya alaqah ndani ya fuko la 
uzazi la mama. 

(The Developiung Human, Moore 
and Persaud) Toleo la Tano Ukurasa 
wa 66.) 



Umbo 3: Katika picha hii ndogo, tunaona 
uning'iniaji wa mimba (wenye alama B) katika hatua 
ya alaqah (kiasi cha umri wa siku 15) katika fuko la 
uzazi wa mama, ukubwa halisi wa mimba ni 0.6 mm. 
(TheDeveloping Human, Moore, Toleo la 3 ukurasa 
wa 66, kutoka katika kitabu, Histology, Leeson and 
Leeson.) 






Wa Kuufahamu Uislamu Kwa Ufupi Na Kwa 




a VielelezoJ 





Umbo 4: Mchoro asilia wa 
mfumo wa moyo na mishipa ya 
mimba katika hutua ya alaqah. 
umbo la nje la mimba na fuko 
lake linafanana na pande la 
damu, kutokana na kiasi 
kikubwa cha damu iliyomo 
katika Kiinitete. (The Developing 
Human, Moore, toleo la tano, 
ukurasa wa, 65) 



dv-i-al nlar-iBij -■ - " 


1 m>r *i 


St«l-«jy villus 


qf.H'-4' £QJdi*Ol 


WK 




hwri JWgfcf* 






'-ill y J " '; 






-$z^% 






$£§ 






--"Jjfjft 


ibrn 


par 






^^r 1 ,-1^. |_1^... 




^TyT * >4fV# fllP« *+ 






w|1»lor plf.vL i/fi f*fc l-fl< 



Umbo 5: Picha ya 
Kiinitete chenye umri 
wa siku 28 kikiwa 
katika hatua ya 
Mudghah. Mimba 
katika hatua hii 
kimaumbile inafanana 
na bazoka iliyotafunwa, 
kwa sababu umbo la 
mgongo wa mimba 
linafanana kwa kiasi 
fulani na alama za 
meno katika kitu 
kiliotafunwa. Ukubwa 
halisi wa mimba ni 
4mm. (The Developing 
Human, Moore and 
Persaud, toleo la tano, 
ukurasa wa 82. toka 
kwa Professor Hideo 
Nishimura, Kyoto 

Universitry, Kyoto 
Japan.) 






Uislamu Kwa Ufupi Na Kwa Ki 




Muongozo Wa Kuufahamu 


ltumia Vielelezo Vya Picha 







Umbo 6: Tunapolinganisha 
umbo la mimba katika hatua ya 
mudghah, na kipande cha 
bazoka ambayo imeshatafunwa, 
tunapata kuwa kuna kufanana 
katiya vitu viwili hivyo. 



A) Picha ya mimba katika hatua 
ya mudghah. Hapa tunaona 
umbo la mgongo wa Kiinitete 
linafanana na alama za meno 
(The Developing Human, Moore 
and Persaud, toleo la tano, 
ukurasa wa 79) 

B) Picha ya kipande cha bazoka 
iliyotafunwa. 



A -Kiinitete - Mimba 

Tunduya s&io 



Ntmdu u 1 



itikia 




B-bazoka (bigijii) 



26+1 siku 



., 



■ 



Professor wa Heshima mstaafu Keith L. Moore ni mmoja wa 
wataalamu wa sayansi mashuhuri sana duniani katika sekta za 
uchambuzi wa mwili (Anatomia) na, elimu ya uzazi , pia ni mtunzi 
wa kitabu kiitwacho The Developing Human, kilichotafsiriwa katika 
lugha nane. Kitabu hiki ni Marejeo ya kisayansi na kiliteuliwa na 
tume maalum nchini Marekani kama ni kitabu bora zaidi 
kilichotungwa na mtu mmoja. Dr. Keith Moore ni Professor wa 
Heshima wa Anatomia na Biolojia ya Cell, katika Chuo kikuu cha 
Toronto, Canada. Huko chuoni Toronto, alishika nafasi ya msaidizi 
wa mkuu wa kitengo cha Utabibu sehemu ya Basic sciences na kwa 
muda wa miaka 8 alikuwa ni Mkuu wa kitengo cha uchambuzi wa 



1 Mimba, mbegu za uzazi, na mtoto kabla ya kuzaliwa. 



Wa Kuufahamu 







Kutumia Vielelez 


o \ ya P.cha 



mwili (Anatomia). Katika mwaka 1984, alipokea tunzo maalumu 
katika sekta ya anatomia nchini Canada, J.C.B zawadi kubwa 
inayotolewa na umoja wa wanatomia wa Kikanada) Ameshaongoza 
vyama mbalimbali vya kimataifa, kama vile Umoja wa wataalamu 
wa anatomia wa Kimarekani na Wakanada na Baraza la umoja wa 
wataalamu wa Elimu ya Biolojia. 

Mnano mwaka 1981 katika mkutano wa saba wa tiba mjini 
Dammam, Saudi Arabia, Professor Moore alisema: Imekuwa ni 
furaha kubwa kwangu kusaidia kubainisha juu ya maelezo ya Qur'an 
kuhusu ukuaji wa binadamu. Ni wazi kwangu ya kuwa maelezo haya 
ya Qur'an ni lazima yatakuwa yamemjia Muhammad kutoka kwa 
Mungu, kwasababu karibu ya Elimu yote hii ilikuwa haijavumbuliwa 
hadi baada ya karne nyingi. Hii inanithibitisha kuwa Muhammad 
lazima atakuwa ni Mtume wa Mungu. 

Kufuatana na hayo, Professor Moore aliulizwa swali lifuatalo: 
"Je maelezo hayo yanamaanisha kuwa wewe unaamini kuwa 
Qur'an ni Maneno ya Mungu?" Alijibu: "sioni uzito kukubali 

hivyo." 2 

Katika moja ya mikutano, Professor Moore alieleza, "....kwa 
sababu hatua za kiinitete cha mwanadamu zinachanganya (zina hali 
nyingi na ngumu kuzifahamu) kutokana na matendo yanayoendelea 
ya mabadiliko katika kipindi cha ukuaji, inapendekezwa kuwa 
mfumo mpya wa uainishaji uendelezwe kwa kutumia maelezo 
yaliyotajwa ndani ya Qur'an na Sunnah (mambo aliyoyasema, fanya 



au aliyoyathibitisha Muhammad 8». Mfumo uliopendekezwa ni 
mwepesi wenye kukusanya kila kitu na unaafikiana na Elimu ya 
uzazi ya siku hizi. Uchunguzi wa kina juu ya Qur'an na Hadith 



Asili ya maelezo haya ni This is the Truth (videotape). Tembelea website: 
www.islamic-guide.com/truth Kwa kujipatiaa nakala ya mkanda huo au kujionea 
video clips za maelezo ya Professor Keith Moore moja kwa moja. 
2 This is the Truth (videotape). 



■ 










Mucins 


;ozo Wa Kuufahamu Uisl 


amu Kwa I 


Jfupi Na Kwa 


Kutumia Vielelezo Vya Picha 


i 





(maelezo ya kutegemewa yalionukuliwa na wafuasi wa mtume 



Muhammad 



yanahusu kile alichokisema, fanya au 



alichokithibitisha Muhammad 3». Ndani ya miaka minne iliyopita 
umegundulika mfumo wa uainishaji viinitete vya wanadamu mfumo 
ambao ni wa kushangaza tangu uliporekodiwa katika karne ya saba 
A.D Ingawa Aristotle, muanzilishi wa elimu ya uzazi alitambua 
kuwa viinitete vya kuku hukua kwa hatua, aligundua hayo kutokana 
na uchunguzi wake juu ya mayai ya kuku mnamo karne ya nne B.C., 
hakutoa maelezo yoyote yaliyokamilika kuhusu hatua hizo. Kwa 
kadiri inavyofahamika kutoka kwenye historia ya elimu ya uzazi, ni 
machache yaliyofahamika kuhusu hatua na uainishaji wa viinitete 
vya wanadamu mpaka karne ya ishirini. Kwa mantiki hii, maelezo 
juu ya kiinitete cha mwanadamu katika Qur'an hayawezi kutegemea 
elimu ya kisayansi katika karne ya saba. Hitimisho la pekee la kiakili 

ni kuwa: maelezo haya yalifunuliwa kwa Muhammad a® toka kwa 



Mwenyezi Mungu. Muhamad 8® asingeweza kujua maelezo hayo 
yaliyokamilika kwa sababu alikuwa ni mtu asiejua kuandika wala 
kusoma pamoja na kuwa hakupata kabisa mafunzo ya kisayansi." 



B) Qur'an na Milima: 

Kitabu kiitwacho Ardhi (Earth) ni kitabu cha kiada na ni 
marejeo ya msingi katikaa vyuo vikuu vingi duniani. Mmoja wa 
watunzi wawili wa kitabu hicho ni Professor wa Heshima Frank 
Press. Alikuwa mshauri wa mambo ya kisayansi wa rais wa zamani 
wa Marekani Jimmy Carter, na kwa muda wa miaka 12 alikuwa ni 
mkuu wa chuo cha sayansi cha taifa mjini Washington, DC (National 
Academy of Sciences). Kitabu chake kinaeleza kwamba milima ina 



This is the Truth (videotape). Tazama pambizo no. 1 uk. 1 1 



Wa Kuufahamu 







Kutumia Vielelez 


o \ ya P.cha 



mashina yaliyochini. Mashina hayo yameingia kwa kina kirefu 
ndani ya ardhi, kwa hiyo, milima ina umbo kama kigingi (tazama 
umbo 7, 8, na 9). 

Na hivi ndivyo Qur'an ilivyoeleza kuhusu milima. Mwenye 
Mungu amesema ndani ya Qur'an: 

{Kwani hatukuifanya ardhi kama 
tandiko,? Na milima kama vigingi?) 
Qur'an 78:6-7. 



Bahaiikuu 



tribal; a 



Umbo 7: Milima 
ina mashina ya 
kina kirefu chini 
ya uso wa ardhi. 
(Earth, Press 
and Siever, 
ukurasa wa413. 




Bahaiikuu Krl 
o 



10 

JO 
-30 

•50 



kifuniko Horizontal disiarica tiw io seals 




Umbo 8: Sehemu ya kielelezo. Milima, kama vigingi, ina mashina ya kina yaliyoingia ardhini. 
(Anatomy of earth, Cailleux, ukurasa wa 220.) 



1 Earth, Press and Siever, ukurasa wa 435. vilvile angalia Earth Science, Tarbuck 
and Lutgens, ukurasa wa 157 





ngozo Wa Kuufahamu Uislamu Kwa Ufupi Na Kwa 


Kutumia Vielelezo Vyii . icna 



U?o wa mlima 



Kulika 




usawa wa bahad 
/ 



W 
- — Mzizi wa Minna 



Umbo 9: Kielelezo kingine kinaonyesha namna milima ilivyo na umbo kama kigingi, kwa 
sababu ya mashina yake ya kina kirefu ( Earth science, Tarbuck and Lutgens, ukurasa wa 
158.) 

Sayansi ya kisasa juu ya ardhi imethibitisha kuwa milima ina 
mashina yenye kina kirefu chini ya uso wa ardhi itazama umbo 9) na 
kuwa mashina hayo yanaweza kufikia vimo virefu zaidi kuliko vimo 
vyake vya juu ya uso wa ardhi. Kwa hiyo tamko linalofaa zaidi 
katika kuelezea milima kwa msingi wa maelezo haya ni neno 
'kigingi'. Kwani sehemu kubwa ya kigingi kilichowekwa madhubuti 
inafichwa ndani ya uso wa ardhi. 

Historia ya sayansi inatueleza kuwa nadharia ya milima kuwa 
na mashina ya kina kirefu ilitambulishwa mwaka 1865 na 
mwanaanga bora bwana George Airy . 

Milima vilevile ina cheza duru kubwa katika kuimarisha uso 
wa ardhi. Inazuia tetemeko la ardhi. Mwenyezi Mungu amesema 
katika Qur'an: 

{Na kaweka katika ardhi 
milima ili ardhi isiyumbe yumbe 
nanyi. Na mito, na njia ili mpate 
kuongoka.) Qur'an 16:15 



The Geological Concept of Mountains in the Qur'an, El-Naggar, p. 5. 
2 Earth, Press and Siever, ukurasa wa 435. villevile tazama The Geological 
Concept of Mountains in the Qur'an, ukurasa wa 5. 

The Geological Concept of Mountains in the Qur'an, ukurasa wa 44- 45. 



Wa Kuufahamu 







Kutumia Vielelez 


o \ ya P.cha 



Kadhalika, nadharia ya kisasa ya (plate tectonics) inaeleza 
kuwa milima inafanya kazi kama viimarisho vya ardhi. Elimu hii 
inayohusu kanuni za milima kama viimarisho vya ardhi imeanza 
kutambulika katika mfumo wa plate tectonics mwishoni mwa miaka 
ya sitini 1960. 

Je katika kipindi cha mtume 

Muhammad ss® kungekuwa na mtu 

yeyote anaejua maumbo ya hakika 

ya milima? Je kungekuwa na mtu 

yeyote anaeweza kudhani kwamba 

mlima mkubwa mno na imara ambao 

anauona mbele yake, kwa hakika 

umejitandaza kwenye kina cha ardhi 

na una mizizi kama wanavyohakikisha wanasayansi? 

Jiolojia ya kisasa imethibitisha ukweli wa aya za Qur'an. 




C) Qur'an na asili ya ulimwengu 

Sayansi ya kisasa ya elimu ya muundo wa ulimwengu, 
uchunguzi na nadharia inaashiria kwa uwazi kuwa, katika kipindi 
kimojawapo cha wakati, ulimwengu wote ulikuwa si chochote 
ispokuwa ni wingu la 'moshi' (yaani uzito kama wa majimaji wa hali 
ya juu usiopitisha kitu na mtungo wa gesi za moto) . Na huu ni 
msingi mmojawapo usio na ubishi wa elimu mpya juu ya ulimwengu. 
Kwa sasa wanasayansi wanaweza kuona nyota mpya zilizoundwa 
kutokana na mabaki ya moshi huo. (Tazama umbo namba 10 na 11). 
Nyota zinazotoa mwangaza tuzionazo wakati wa usiku zilikuwa 
kama ulivyokuwa ulimwengu wote, katika malighafi hiyo ya moshi. 
Mwenyezi Mungu amesema katika Qur'an: 



The Geological Concept of Mountains in the Qur'an, ukurasa wa 5. 
2 The first Three Minutes, a Mordern View of the Origin of the Universe, 
Weinberg, pp. 94-105. 



■ 


' ^ 




Muons 


p^TWa Kuufahamu Uislamu Kwa Ufupi Na Kwa 


Kutumia Vielelezo Vya . icna 



^Kisha akazielekea mbingu, na 
zilikuwa moshi...) Qur'an, 41:11 

Kwa sababu duniani na juu mbinguni (jua, mwezi, nyota, 
sayari, kikundi cha nyota, nk.) vimeundwa kutokana na moshi uleule, 
Tunahitimisha kwamba dunia na mbingu zilikuwa kitu kimoja 
kilichoungana kikamilifu. Kisha kutokana na moshi huu wenye hali 
moja, viliumbwa na kutawanyika vikawa mbalimbali. Mwenyezi 
Mungu amesema katika Qur'an: 

0e! Hao walio kufuru hawakuona 
kwamba mbingu na ardhi zilikuwa 
zimeambatana, kisha Sisi 

tukazibabandua? Na tukajaalia kwa maji 
kila kilicho hai? Basi je, hawaamini?) 
Qur'an, 21:30 



Umbo 10: Nyota mpya 
iliyoundwa kutokana na 
wingu la gesi na vumbi 
zito (nebula- yaani kundi 
la nyota au 

unyevunyevul) ambayo 
ni mojawapo ya mabaki 
ya ule moshi uliokuwa 
ndio asili ya ulimwengu 
wote. (The Space Atlas, 
Heather and Henbest) 




Jamii ya nyota nyingi ndogo kama wingu 



Wa Kuufahamu 







Kutumia Vielelez 


o \ ya P.cha 




Umbo 11: Wangwa wa nebula, ni wingu la gesi na vumbi, kipenyo chake ni kadiri ya miaka 
60, ya kimwangaza' (umbali wa masafa ya vipimo vya sayari) wangwa huu unasisimuliwa na 
miale ya urujuani isiyoonekana ya nyota ambazo zimeundwa hivi karibuni zikiwa na ukubwa 
wake. (Horizons, Exploring the Universe, Seeds plate 9, from Association of Universities for 
Research in Astronomy, Inc.) 

Dr. Alfred Kroner ni mmoja wa wanajiolojia mashuhuri. 
Yeye ni Profesa wa jiolojia na ni mwenyekiti wa kitengo cha jiolojia 
katika taasisi ya Geoscience, chuo kiku cha Johannes Gutenberg, 
Mainz, Germany. Alisema: "Fikiria Muhammad amekuja kutokea 
wapi... nadhani kitu hicho, takribani haiwezekani kwamba angejua 



kwa kipimo cha kugawa kati toka mwanzo hadi mwisho wa wangwa ni kadiri ya 
umbali wa miaka 60 ya mwanganza (60 light years in diameter) vipimo vya 
masafa ya sayari toka moja hadi nyengine au umbali wa masafa ya sayari yenyewe 



Muongozo Wa Kuufahamu 


Uislamu Kwa Ufupi Na Kwa Ku 


imia Vielelezo Vya . icna 



vitu kama asili ya hakika ya ulimwengu, kwasababu wanasayansi 
wamegundua hayo ndani ya miaka michache, kwa kutumia 
teknolojia ngumu na ya hali ya juu, na hiyo ndio kadhia . Vilevile 
amesema: "Mtu asiejua chochote kuhusu fizikia ya nyukilia karne 
kumi na nne zilizopita nadhani, asingeweza kuwa katika nafasi ya 
kugundua hayo kutokana na akili yake mwenyewe, kwa mfano, 
dunia na mbingu zilikua na asili moja." 

D) Qur'an na Ubongo 

Mwenyezi Mungu amesema katika Qur'an kuhusu mmoja 

wa makafiri mbaya sana ambae alimzuia Mtume Muhammad sH 
kusali katika Kaaba (Msikiti wa Maka): 

{Kwani! Kama haachi, tutamkokota kwa 
shungi la nywele!. Shungi la uwongo, 
lenye makosa!) Qur'an, 96:15-16 

Kwanini Qur'an imeeleza kuwa paji la uso ni ongo na ovu? 
Kwanini Qur'an haikusema kuwa mtu mwenyewe ndie muongo na 
muovu? Je kuna uhusiano gani kati ya paji la uso na uongo au uovu? 

Kama tutaangalia fuvu la kichwa kwa upande wa mbele wa 
kichwa tutaona seheme ya ubongo wa mbele. (tazama umbo: 12) Nini 
inatuambia Fiziolojia (elimu ya kujua kazi za vitu mbalimbali) 
kuhusu kazi za sehemu hii? Kitabu kinachoitwa Essentials of 
Anatomy & physiology ,(misingi ya elimu 'sayansi ' ya uainishaji na 
elimu ya kujua kazi mbalimbali) kinaielezea sehemu hii kama 
ifuatavyo: "vichocheo na mitazamo ya haraka haraka ya kupangilia 
na kuanzisha matendo, hutokea katika sehemu ya mbele iliyo kama 
ndewe, sehemu ambayo ni eneo la mwanzoni. Hili ni eneo la 



Chanzo cha maelezo haya ni Mkanda wa kweli wa (video) tembelea www. islam- 
guide, com/truth ambapo unaweza kujipatia copy ya mkanda huu au kujipatia clips 
za maelezo ya Professor Alfred Kroner. Moja kwa moja. 
2 This is the Truth (video tape) 
" Elimu ya kutambua tabia ya mtu usoni mwake 



Wa Kuufahamu 







Kutumia Vielelez 


o \ ya P.cha 



muungano wa tabaka la nje la ubongo..." Vilevile hicho kitabu 
kinasema: (Miongoni mwa mambo yanayofungamana na ushiriki wa 
sehemu hiyo katika kuzusha vichocheo, pia inaaminika kuwa, eneo la 
paji ndilo kituo cha matendo ya uadui. 



m2 



Kwa hiyo sehemu hii ya ubongo ndio muhusika wa mipango, 
vichocheo, na kuanzisha tabia nzuri au mbaya na ndio muhusika wa 
kusema uwongo au ukweli. Kwa hiyo, ni jambo madhubuti kuielezea 
sehemu ya mbele ya kichwa kuwa ni ongo na ovu wakati mtu 
anapoongopa au kutenda uovu, kama ilivyosema Qur'an na kuisifu 
sehemu hii kama ongo na kosaji pale mtu anapoongopa au kufanya 
makosa (...Shungi la uwongo, lenye makosa!) Qur'an, 96:16 



ganda kuu la matendo v 
kituo cha matendo s 



kituo cha matendo 
ya kuongea 



kituo cha 
usikiaji 



,kituo kikuu cha hisia 

kituo cha kuonja 




kituo cha hisia 



kituo cha 
kuona 



ganda la 
uonaji 



kituo cha 
hisia za kuongea 



ganda kuu la usikiaji 



Umbo:12 maeneo ya utendaji kazi ambayo ni maeneo ya upande wa nusu duara ya kushoto 
ya tabaka la nje la ubongo. Sehemu ya mbele ya paji ipo mbele ya tabaka la nje la ubongo. 
(Essentials of Anatomy & physiology, Seeley and others, ukurasa wa210) 



1 Essential of Anatomy & Physiology, Seeley and others, p . 2 1 1 . Pia tazama The 
Human Nervous System, Noback and others, pp. 410-411. 

2 Essential of Anatomy & Physiology, Seeley and others, p . 211. 



Wanasayansi wamegundua matendo haya ya eneo la mbele la 
kichwa katika miaka sitini tu iliyopita, na hayo ni kwa mujibu wa 
profesa Keith L. Moore. 1 

E) Qur'an, Bahari na Mito: 

Elimu ya sayansi ya kisasa imegundua kuwa katika sehemu 
ambazo zinakutana bahari mbili tofauti kuna kizuizi kati ya bahari 
hizo. Hiki kizuizi kinazigawa bahari mbili hizo kwa namna ambayo 
kila bahari inakuwa ina hali yake ya joto, kiwango cha chumvi na 
mgandamizo. Kwa mfano, maji ya bahari ya Mediterania ni ya 
uvuguvugu, chumvi nyingi na mazito kidogo, ukiyalinganisha na 
maji ya bahari ya Atlantiki. Wakati maji ya bahari ya Mediterania 
yanapoingia bahari ya Atlantiki kupitia mlima Gibraltar, huwa 
yanakwenda masafa ya mamia kadhaa ya kilomita ndani ya bahari ya 
Atlantiki katika kina cha takribani mita 1000 yakiwa na hali\tabia 
yake ya uvuguvugu, chumvi, na uzito mdogo. Maji ya bahari ya 
Mediterania yanaendelea kuthibiti kama yalivyo katika kina hiki 
(tazamaumbol3). 

Bahari ya Atlantiki Bahari ya Mediterania 



■3 




200 




,-. 400 - Maji ya Bahari ya Atlantiki 
1 Mill - 
"g 800 



Umbo 13: Maji ya bahari ya Mediterania kama yanavyoingia bahari ya Atlantiki kupitia mlima 
Gibraltar, yakiwa na hali yake ya uvuguvugu, chumvi na uzito mdogo, kwa sababu ya kizuizi 
ambacho kinatenganisha kati ya bahari hizo. Joto lipo katika nyuzi joto za Celsius (C°) 
(Marine Geology, Kuenen, ukursa wa, 43 pamoja na ungezeko dogo). 



Al-E' jaz al-Elmy fee al-Nasseyah (The Scientific Miracles in the Front of the 
Head), Moore and others, p. 41. 
2 Principles of Oceanography, Davis, pp. 92-93. 
" Principles of Oceanography, Davis, pp. 93. 



Wa Kuufahamu 



la Kwa Kutumia Vielelez 



Ingawa kuna mawimbi makubwa, mikondo mikali na maji 
kupwa na kujaa katika bahari hizi, lakini hazichanganyiki au 
kukeuka, kizuizi hicho. 

Qur'an tukufu imeeleza kuwa kuna kizuizi kati ya bahari 
mbili zenye kukutana, bahari hizo hazivuki kizuizi hicho. Mwenyezi 
Mungu amesema: 

{Anaziendesha bahari mbili zikutane; 
Baina yao kipo kizuizi, zisiingiliane) 
(Qur'an, 55:19-20) 

Lakini wakati Qur'an inapozungumzia kuhusu kitenganishi 
kilcho kati ya maji baridi na maji chumvi, inaonyesha kuwepo kwa 
"kizuizi kigawacho" pamoja na kitenganishi. Mwenyezi Mungu 
amesema katika Qur'an: 

{Naye ndiye aliye zipeleka bahari mbili, hii 
tamu mno, na hii ya chumvi chungu. Na 
akaweka baina yao kinga na kizuizi 
kizuiacho) Qur'an, 25:53. 

Mtu anaweza kuuliza, Kwanini Qur'an imetaja kuwepo kwa 
kinga ilipozungumzia kitenganishi kati ya maji baridi na maji 
chumvi, lakini haijakitaja ilipozungumzia kitenganishi kati ya bahari 
mbili? 

Sayansi ya kisasa imegundua kuwa katika milango ya mito, 
ambapo maji baridi na maji chumvi yanakutana, hali, kwa kiasi 
fulani, huwa ni tofauti na ile inayopatikana katika sehemu za 
makutano ya bahari mbili. Imegundulika kuwa kinachotenganisha 
maji baridi na ya maji chumvi katika milango ya mito ni eneo la 
mteremko (pycnocline) lenye msongamano wenye alama maalumu 
usioungana inayotenganisha kati ya tabaka mbili hizo . Sehemu hii 



Kitabu: Oceanography, Gross, ukurasa wa, 242. Vilevile angalia, Introductory 
Oceanography, Thurman, ukurasa wa, 300-301. 



■ 


' * 




Muons 


p^TWa Kuufahamu Uislamu Kwa Ufupi Na Kwa 


Kutumia Vielelezo Vya . icna 



ya mtenganisho ina uchumvi chumvi tofauti iliyomo katika maji 



• i 



baridi na chumvi iliyomo katika maji chumvi. (tazama umbo 14) 



Mlango wa mto kuingia baharini 



Maji baridi 
yamto 



Eneo 
la kutenganisba 



Sal 



r 







Maji 

ya baliaii 
yenye chimvi 



Mchangauyiko wa kiwimawiina 



Umbo 14: Kipande kilichokata kwa urefu, kinaonyesha uchumvichumvi (sehemu za elfu %o ) 
katika moja ya mlango wa mto. Hapa tunaona mtengano (sehemu ya kutengana) kati ya maji 
baridi na maji chumvi. (Introductory Oceanography, Thurman.Ukurasa wa 301. kukiwa na 
ongezeko kiduchu) 

Maelezo haya yamegunduliwa hivi karibuni tu, kwa kutumia 
vyombo vya kisasa vya kupimia joto, uchumvi chumvi, 
msongamano, kiwango cha uyeyukaji wa oxygen, n.k. Jicho la 
binadamu haliwezi kuona tofauti iliyopo kati ya bahari mbili 
zikutanazo, kiasi ambacho, hizo bahari mbili zinaonekana kwetu 
zikiwa kama bahari moja ya jinsi moja. Kadhalika, jicho la binadamu 
haliwezi kuona vigawanyo vya maji katika milango ya mito 
vigawanyo vilivyo vya aina tatu: maji baridi, maji chumvi na eneo la 
kutenganisha (sehemu ya kutengana). 

F) Qur'an Bahari za vina virefu na Mawimbi ya 

ndani kwa ndani 

Mwenyezi Mungu amesema katika Qur'an: 

{Au ni kama giza katika bahari kuu, iliyo funikwa na 

mawimbi juu ya mawimbi, na juu yake yapo mawingu. 

Giza juu ya giza. Akiutoa mtu mkono wake anakaribia 

asiuone. Na ambaye Mwenyezi Mungu hakumjaalia 

kuwa na nuru hawi na nuru} Qur'an,24:40. 



: Oceanography, Gross, ukurasa wa, 244. na, Introductory Oceanography, 
Thurman, ukurasa wa, 300-301. 



Wa Kuufahamu 







Kutumia Vielelez 


o \ ya P.cha 



Aya hii imetaja giza lipatikanalo katika bahari za kina kirefu 
na bahari kuu, giza ambalo kama mtu atanyoosha mkono wake, 
hawezi kuuona. Giza katika bahari za kina kirefu na bahari kuu 
linapatikana umbali wa kina cha mita 200 na zaidi kuelekea chini. 
Katika kina hiki, takribani hakuna mwangaza (tazama umbo 15). 
Chini ya kina cha mita 1000 hakuna mwangaza kabisa 1 . Binadamu 
haweza kupiga mbizi zaidi ya mita arobaini bila msaada wa 
manowari au vyombo maalumu. Binadamu hawezi kunusurika bila 
kusaidiwa akiwa katika sehemu za bahari kuu zenye kiza na kina 
kirefu, kwa mfano kina cha umbali ma mita 200. 

Wanasayansi wamegundua giza hili hivi karibuni kwa 
kutumia vyombo maalumu na manowari ambazo zimewawezesha 
kuzamia ndani ya vina vya bahari kuu. 



Umbo 15 :Kati ya 
asilimia 3 hadi 30 
za mwangaza wa 
jua huakisiwa 

katika usawa wa 
bahari. Kisha 

takribani rangi zote 
saba za mtungo wa 
mwangaza 
hufyonzwa moja 
baada ya nyingine 
katika mita 200 za 
mwanzo, ispokua 
mwangaza wa 
buluu. (Oceans, 
Elder and Pernetta, 
ukurasa wa,27.) 




Kitabu: Oceans, Elder and Pernetta, ukurasa wa 27. 
Submarines or special equipment. 





ngozo Wa Kuufahamu Uislamu Kwa Ufupi Na Kwa 


Kutumia Vielelezo Vyii . icna 



Vilevile tunaweza kufahamu kutokana na sentesi zifuatazo katika aya 
iliyotangulia, (....katika bahari kuu, iliyo funikwa na mawimbi juu ya 
mawimbi, na juu yake yapo mawingu....) tunafahamu ya kwamba 
hayo ni maji ya kina kirefu cha bahari na bahari kuu yaliofunikwa na 
mawimbi, na juu ya mawimbi haya kuna mawimbi mengine, Na ni 
wazi kuwa seti ya pili ya mawimbi ndio mawimbi ya juu yaliyo 
katika usawa wa bahari tunayoyaona, kwa sababu aya inaeleza kuwa 
juu ya mawimbi ya pili kuna. mawingu. Lakini vipi kuhusu mawimbi 
ya kwanza? Wanasayansi hivi karibuni wamegundua kuwa kuna 
mawimbi ya ndani kwa ndani yanayotokea katika muingiliano wa 
mgandamizo uliopo kati ya tabaka zenye mvutano ulio tofauti 
tofauti 1 . (Tazama umbo 16) Mawimbi ya ndani kwa ndani 
yanafunika maji ya kina kirefu ya bahari ndogo na bahari kuu 
kwasababu maji ya kina kirefu yanamgandamizo wa juu zaidi kuliko 
mgandamizo wa maji yaliyopo juu yake. Mawimbi ya ndani kwa 
ndani yanatokea kama yanavyotokea mawimbi ya juu ya bahari. Pia 
mawimbi haya ya ndani kwa ndani yanaweza kupasuka, kama 
mawimbi ya juu ya bahari. Mawimbi ya ndani kwa ndani 
hayaonekani kwa macho ya binadamu, lakini yanaweza kugundulika 
kwa kuchunguza mabadiliko ya hali ya joto au chumvi chumvi ya 
sehemu husika. 



Mawimbi 
\ya usawa wa bahari 



Umbo 16: Mawimbi ya ndani 
kwa ndani yakiwa katika 
muingiliano kati ya tabaka mbili 
za maji ya mgandamizo tofauti 
tofauti. Moja ni nzito (takaba ya 
chini), na nyingine ni nzito 
kidogo (tabaka ya juu). 
(Oceanography, Gross, ukurawa 
wa, 204) 




Mnji ya mg.niriiirni/ii in fin go 



Oceanography, Gross, ukurasa wa,205. 
Oceannography, Gross, p. 205. 



Wa Kuufahamu 







Kutumia Vielelez 


o \ ya P.cha 



G) Qur'an na Mawingu 

Wanasayansi wamechunguza aina za mawingu na 
wametambua kuwa mawingu ya mvua hujitengeneza na kujiunda 
kutokana na mfumo unaojulikana na hatau maalum ambazo 
hufungamana na aina maalum za upepo na mawingu. 

Aina mojawapo ya mawingu ya mvua ni mawingu 
Cumulonimbus. Wanahewa (Meteorologists) wamechunguza ni 
namna gani mawingu ya mvua cumulonimbus hujitengeneza na ni 
namna gani yanatengeneza mvua, mvua ya mawe na, mmeto wa radi. 

Wamegundua kuwa mawingu ya cumulonimbus yanapitia 
hatua zifuatazo ili kuzalisha mvua: 

1) Mawingu husukumwa na upepo: Mawingu ya 
Cumulonimbus yanaanza kujiunda pale upepo unaposukuma baadhi 
ya vipande vidogo vidogo vya mawingu (cumulus clouds) kuelekea 
katika sehemu, yanapokutania. (tazama umbo 17 na 18). 



Umbo 17: Picha ya Satellite 
inaonyesha mwendo wa 
mawingu kuelekea sehemu 
za kukutania zenye alama ya 
B,C, na D. Mishale inaashiria 
muelekeo wa upepo. 
(Matumizi ya picha za 
satellite kwa ajili ya 
uchambuzi na utabiri wa hall 
ya hewa, Anderson and 
others, ukurasa wa, 188). 



Umbo 18: Vipande vidogo vidogo vya mawingu 
(cumulus clouds) vikielekea sehemu ya mkusanyiko 
karibu na horizon, 1 ambapo tunaweza kuona wingu 
kubwa la cumulonimbus. (Clouds and Storms, Ludlam 
plate 7.4.) 




1 Mstari wa upeo wa macho. 



'€■'' 

r * 




* ' *• mM 


*4 









ngozo Wa Kuufahamu Uislamu Kwa Ufupi Na Kwa 


Kutumia Vielelezo \^ 



2) Kuungana: Kisha yale mawingu madogo madogo huungana 
pamoja na kutengeneza wingu kubwa (tazama umbo 18 na 
19). ' 



10 

B 

'■■■ ■ 



x 



\A-f Hatu ya mawingu ya kitawanyika 



4 . -. 



ore 



*|5i<£t$^ fitf 



\1j) Hatu ya kukua kwa mnbo 

V 




Umbo 19: (A) vipande vidogo vidogo vya mawingu vilivyojitenga (cumulus clouds). (B) 
Wakati mawingu madogo madogo yanapoungana pamoja, yanajirundika na wingu kubwa 
linaongezeka, kwahiyo wingu limesharundikana. Matone ya mvua yanayodondoka 
yanaonyeshwa kwa alama ya • (The Atmosphere, Anthes and others, ukurasa wa, 269.) 



3) Mrundikano: Wakati mawingu madogo madogo 

yanapoungana pamoja, yanapanda ndani ya wingu kubwa kwa nguvu 
za mikondo ya upepo inayoelekea juu. Mnyanyuko kuelekea juu kwa 
msukumo wa upepo, katika sehemu za karibu na katikati ya wingu 
una nguvu zaidi kuliko sehemu za pembeni . Mikondo hiyo ya hewa 
inayopanda juu husababisha umbo la wingu linyooke kiwima 
kiwima, kwahiyo wingu linakuwa limejirundika pamoja (tazama 
umbo 19 (B), 20, na 21). Ukuaji huu wa kiwima wima unasababisha 
umbo la wingu kutawanyika katika sehemu za anga zenye baridi, 
ambazo hujiunda na kuwa matone ya maji na vipande vya barafu 
(mvua ya mawe) na yanaanza kukua makubwa zaidi. Wakati matone 



Tazama The Atmosphire, Anthes and others 
pp. 268-269, and Elements of Meteorogy, Miller and Thampson, p. 141. 
~ Maeneo ya karibu na katikati mwa wingu yanakuwa imara zaidi, hii inatokana na 
sehemu hii kulindwa na mawingu yaliyo zunguka pambizoni mwake 



Wa Kuufahamu 







Kutumia Vielelez 


o \ ya P.cha 



haya ya maji na vipande vya barafu vinapokuwa vizito kupita kiasi 
na kushindwa kusukumwa (kubebwa) na mikondo ya upepo, 
yanaanza kudondoka chini kutoka mawinguni, yakiwa kama ndio 
mvua, barafu n.k. 2 . . 



Umbo 20: Wingu la mvua Cumulonimbus. 
Baada ya wingu hilo kurundikana pamoja, 
tayari mvua inaanza kunyesha kutoka 
kwenye wingu hilo. (Weather and Climate, 
Bodin, ukurasa wa, 123.) 



Bonge la barafu 







Mwenyezi Mungu amesema katika Qur'an: 

Oe! Huoni ya kwamba Mwenyezi Mungu 
huyasukuma mawingu, kisha huyaambatisha, kisha 
huyafanya mirundi? Basi utaona mvua ikitoka kati 
yake....) Qur'an, 24:43 



Umbo 21: Wingu la mvua Cumulonimbus. (A 
Colour Guide to Clouds, Scorer and Wexler, 
ukurasa wa, 23.) 




1 Hewa ya gesi yenye nguvu kama umeme ambayo inayasukuma mawingu haya ya 
mvua lakini asili yake ni upepo 

2 Angalia kitabu: The Atmosphere, cha. Anthes and others, ukurasa wa, 269, na 
kitabu: Elements of Meteorology, Miller and Thompson 





ngozo Wa Kuufahamu Uislamu Kwa Ufupi Na Kwa 


Kutumia Vielelezo Vyii . icna 



Wataalamu wa hali ya hewa, nyota, na vimondo ni hivi 
karibuni tu wamefahamu kwa undani habari hizi, za muundo wa 
mawingu, umbo na shughuli zake, kwa kutumia vyombo 
vilivyoendelea vyenye uwezo wa hali ya juu, kama vile ndege, 
satelaiti kompyuta, mabaluuni (maputo makubwa), na baadhi ya 
nyenzo nyenginezo, zitumikazo kuchunguza upepo na muelekeo 
wake, ili kupima unyevunyevu na aina zake, na kupambanua 
viwango vya msukumo wa hewa na mabadiliko yake . 

Aya iliyotangulia, baada ya kuelezea mawingu na mvua, 
inaeongealea barafu (matone manene ya mvua kama mawe) na 
mimeto ya radi: 

{....Na huteremsha kutoka juu kwenye 
milima ya mawingu mvua ya mawe, 
akamsibu nayo amtakaye na akamuepusha 
nayo amtakaye. Hukurubia mmetuko wa 
umeme wake kupofua macho) Qur'an, 
24:43 

Wataalamu wa hali ya hewa, wamegundua kuwa mawingu 
haya ya mvua cumulonimbus, ambayo ndiyo yanayoshusha mvua ya 
mawe (matone manene ya mvua kama mawe) yanafikia muinuko wa 
urefu wa futi 25,000 hadi 30,000. (ambayo ni sawa na maili 4.7 hadi 
5.7) urefu ambao ni sawa na urefu wa milima, kama ilivyosema 
Qur'an: (...Na huteremsha kutoka juu kwenye milima ya mawingu 
mvua ya mawe...) (angalia umbo namba 21) 



Angalia kitabu: Ee'jaz al-Qur'an al-kareem fee WasfAnwa' al-Riyah, al-Sohob, 
al-Matar, Makky and others, ukurasa wa, 55 

2 Mvua ya mawe ni mvua ya baridi kali iangushayo vipande vya barafu vilivyo 
vigumu sana kama mawe 
" Elements of Meteorology, Miller and Thompson, ukurasa wa, 141. 



Wa Kuufahamu 







Kutumia Vielelez 


o \ ya P.cha 



Aya hii inaweza kuibua swali. Kwanini aya imesema 
"mmetuko wa umeme wake ? " ilipokuwa ikiongelea kuhusu barafu 
(mvua ya raawe)? Je hii ina maana kwamba barafu ya mvua ya mawe 
ndio muhusika mkuu wa kuzalisha mmetuko wa radi? Hebu tutazame 
kinasema nini kitabu kiitwacho Meteorology Today kuhusu swala hii. 
Kinasema kwamba mawingu yanakuwa yamejaa umeme pale 
madonge ya barafu yanapoanguka 
kupitia katika mawingu yenye 
matone ya baridi mno na yenye 
madonge ya barafu. Wakati 
matone ya maji ya sehemu hii 
yanapogongana na matone ya 
barafu, yanaganda kwa kule 
kugusana na hutoa joto 
lililojificha (la ndani kwa ndani). 1 
Hali hii inapelekea upande wa 
nje wa vipande vya matone ya 
barafu kuwa na moto zaidi kuliko 
vile vipande vilivyokaribu na 
madonge ya barafu. Wakati 
matone ya barafu yanapokutana 
na donge la barafu, kunatokea 
tukio muhimu sana la aina yake: 
umeme hutiririka kutoka katika vipande vyenye baridi zaidi kuelekea 
vipande vyenye joto zaidi. Kulingana na hali hiyo vipande vya mawe 
ya barafu vinakuwa vina chaji hasi (-) Na athari hiyo hiyo hutokea 
wakati matone yenye baridi mno, yanapokutana na kipande cha jiwe 
la barafu na hapo hutokea vipunjepunje vidogo vidogo sana vya 
chanya (+) ambavyo huyeyuka. na hivi vipunje punje vyepesi vya 
chanya, baadae husombwa na mikondo ya upepo inayopanda na 
kupelekwa sehemu ya juu ya wingu. Na vile vipande vya barafu 
vilivyosalia na chaji hasi (-) vinadondoka kuelekea chini ya wingu, 




1 Mvuke wa moto wa kiasi hali ya kuwa joto joto 
~ Upepo wenye hewa au nguvu kama gesi 



■ 




^^~~ 








Muons 


;ozo W 


'a Kuufahamu Uisl 


amu Kwa I 


Jfupi Na Kwa 


Kutumia Vielelezo Vya Picha 


i 





kwa hiyo sehemu ya chini kabisa ya wingu inakuwa ina chaji hasi (-) 
Na hizi chaji hasi baadae zinalipuka zikiwa ndio mmetuko wa 
umeme. Kutokana na haya tunakamilisha kuwa barafu ndio mhusika 
mkuu wa uzalishaji wa mmeto wa umeme wa radi. 

Maelezo haya juu ya mmetuko wa umeme wa radi 
yamegundulika hivi karibuni. Kwani mpaka kufikia mwaka 1600 
AD, fikira za Aristotle kuhusu hali ya hewa ndizo zilizokuwa 
zimetawala. Kwa mfano, Aristotle alisema ya kwamba tabaka za 
anga zina aina mbili za hewa nyevunyevu na kavu. Pia amesema 
kuwa radi ni sauti itokanayo na mgongano wa hali ya hewa yabisi na 
mawingu yaliyo karibu, na mmetuko ni muwako na muunguo wa 
hewa kavu ukiwa na umbo la moto mwembamba uliofifia. Hizi ni 
baadhi ya fikira juu ya hali ya hewa, ambazo zilikuwa zimetawala 
katika kipindi cha kushuka Qur'an, karne kumi na nne zilizopita. 



H) Maelezo ya Wanasayansi juu ya Miujiza ya 
kisayansi ndani ya Qur'an 

Yafuatayo ni baadhi ya maelezo ya wanasayansi juu ya 
miujiza ya kisayansi iliyomo ndani ya Qur'an tukufu. Maelezo yote 
haya yamechukuliwa toka kwenye mkanda wa video uitwao This is 
the truth. (Huu ndio ukweli). Katika mkanda huo wa video unaweza 
kuwaona na kuwasikia wanasayansi wakitoa maelezo yafuatayo: 
(Tafadhali tembelea www.islam-guide.com/truth ili kujipatia nakala 
ya mkanda huu, na kujionea mkanda huo moja kwa moja, au 
kujionea picha za video za maelezo hayo moja kwa moja. 

1) Dr. T. V. N. Persaud ni Professor wa elimu ya uchanganuzi 
wa mwili na viungo vyake (anatomia), Professor wa tiba za watoto 
na ni Professor wa ukunga, elimu ya uzazi na sayansi ya kuzaliana 



Meteorology Today, Ahrens, p. 437. 



~ The works of Aristotle Translated into English: Meteorologica, Vol. 3, Ross and 
others, ukurasa wa, 369a- 369b. 



Wa Kuufahamu 







Kutumia Vielelez 


o \ ya P.cha 



katika chuo kikuu cha Manitoba, Canada. Na huko chuoni, alikuwa 
ni Mwenyekiti wa kitivo cha Anatomia kwa muda wa miaka 16. naye 
ni mtu mashuhuri sana katika sekta yake. Naye ni mtunzi wa vitabu 
22 vya kiada na ameshachapisha zaidi ya miswada 181 ya kisayansi. 
Mwaka 1991 alitunukiwa tunzo nzuri sana itolewayo kwa ajili ya 
sekta ya Anatomia nchini Canada ambayo ni zawadi kuu maalum ya 
J.C.B. inayotolewa na umoja wa wataalamu wa Anatomia wa 
kikanada. Alipoulizwa kuhusu miujiza ya kisanyasi iliyomo ndani ya 
Qur'an, ambayo ameshaichunguza, alieleza yafuatayo: 

Kwa njia ambayo nilielezwa ni kuwa Muhammad alikuwa ni mtu 
wa kawaida. Hakujua kusoma wala kuandika. Kwa hakika 
Muhammad alikua hajui kusoma na kuandika. Nasi tunaongelea 
kuhusu karne kumi na mbili, kwa hakika ni kumi na nne zilizopita. 
Una mtu asiejua kusoma wala kuandika anatangaza na anatoa 
maelezo, na maelezo hayo ni fasaha na yakustajabisha kuhusu tabia 
ya kisayansi. Na mimi binafsi sidhani kuwa mambo yote haya 
yametokea kibahati bahati tu. Kuna mambo mengi sana ya hakika na 
kama alivyo Dr. Moore, sina pingamizi yeyote katika akili yangu ya 
kuwa huu ni wahyi au ufunuo mtakatifu toka kwa Mungu 
uliomuongoza kuweza kutoa maelezo haya. 

Professor Persaud ameambatanisha baadhi ya aya za Qur'an 
na hadithi za mtume Muhammad 3® katika baadhi ya vitabu vyake. 



Pia alionyesha aya hizi na hadithi za mtume Muhammad £*§ katika 
mikutano kadhaa. 

2) Dr. Joe Leigh Simpson ni Mwenyekiti wa kitivo cha ukunga, 

na uzazi, Professor wa ukunga na uzazi, na ni Professor wa elimu ya 
viini vinavyorithiwa toka kwa wazazi na elimu ya viini vya 
binadamu (Genetics) katika chuo cha mafunzo ya tiba cha Houston 
Texas nchini Marekani. Zamani alikuwa ni Professor wa magonjwa 
ya wanawake na ukunga (Ob-Gym) na ni mwenyekiti wa kitivo cha 
magonjwa ya wanawake na ukunga katika chuo kikuu cha 



■ 




^ 








Muons 


;ozo W 


'a Kuufahamu Uisl 


amu Kwa I 


Jfupi Na Kwa 


Kutumia Vielelezo Vya Picha 


i 





Tennessee, Memphis, University of Tennessee, Memphis, Tennessee, 
USA. Pia aliwahi kuwa rais wa umoja wa watungishaji mimba 
(warutubishaji Fertility) wa Marekani. Ameshawahi kutunukiwa 
tunzo nyingi ikiwemo ile iliyotolewa mwaka 1992 na chama cha 
maprofesa wa utambuzi wa maradhi ya wanawake na ukunga. 
Professor Simpson alizichunguza hadithi mbili za mtume 
Muhammad zifuatazo: 



{Hakika kila mmoja wenu, hukusanywa pamoja umbo 
lake akiwa tumboni mwa mama yake katika muda wa siku 
arobaini j 1 

{Zikipita siku arobaini na mbili kwa tone la manii (lililo 
tumboni mwa mama yake) Mwenyezi Mungu analipelekea 
malaika kwenda kulitia umbo, kutengeneza usikivu wake, uoni 
wake, ngozi yake, nyama zake, na mifupa yake....} 



Alizichunguza hadithi hizi mbili za mtume Muhammad »»* 
kwa upana, akaweka maanani kuwa siku arobaini za kwanza ndizo 
zifanyazo hatua ya kipekee na iliowazi ya mwanzo wa mimba 
(kiinitete). Na alivutiwa hasa na usahihi mkamilifu pomoja na 



uangalifu barabara wa hadithi hizi za mtume Muhammad 
alipokuwa katika moja ya mikutano, alitoa rai ifuatayo: 



5. Kisha, 



1 Angalia kitabu: Saheeh Muslim, #2643, na Saheeh Al-Bukhari, #3208. Zingatia: 
Maelezo yaliyo katikati ya mabano ya aina hii {....} katika kitabu hiki ni tafsiri ya 



kile alichokisema Mtume Muhammad sS». Pia zingatia kuwa alama hii # ikitumika 
katika footnotes, inaashiria namba ya hadithi. Hadithi ni nukuu ya uhakika 



iliyoelezwa na wafuasi wa Mtume Muhammad sis juu ya kile alichokisema, tenda, 
au alichokikiri. 
Saheeh Muslim. #2645. 



Wa Kuufahamu 







Kutumia Vielelez 


o \ ya P.cha 



"Kwa hiyo hadithi hizi mbili (maneno ya mtume 



Muhamad^) zilizonukuliwa zimetupatia ratiba maalumu ya hatua za 
msingi za maendeleo ya ukuaji wa mimba kabla ya siku arobaini. 
Pia, kitu cha muhimu kimeshawekwa, nafikiri tayari imesharudiwa 
rudiwa na wazungumzaji wengine asubuhi hii: haiwezekani kuwa 
hadithi hizi zimepatikana kutokana na misingi ya elimu za sayansi 

zilizokuwepo wakati zilipoandikwa hadithi hizi Kinachofuata, 

nadhani, ni kwamba, sio tu hakuna kupingana kati ya elimu ya 
chembe chembe hai (Genetics) na dini lakini, kwa hakika, dini 
inaweza kutoa muongozo kwa sayansi kwa kuongeza wahyi (ufunuo) 
katika baadhi ya mitazamo ya kimapokeo (traditional) ya kisayansi, 
kwani kuna maelezo katika Qur'an yaliyotayari, yametajwa tangu 
karne nyingi, zilizopita na bado ni thabiti yanayothibitisha kuwa 
elimu iliyomo ndani ya Qur'an imetoka kwa Mwenyezi Mungu." 

3) Dr. E. Marshall Johnson ni Profesa wa heshima (aliestaafu) 
wa elimu ya anatomia na maendeleo ya kibaiolojia katika chuo kikuu 
cha Thomas Jefferson, Philadelphia, Pennsylvania, USA. Ambako 
kwa muda wa miaka 22 alikuwa ni Profesa wa anatomia, mwenyekiti 
wa kitengo cha anatomia, na Mkurugenzi wa chuo cha Daniel Baugh, 
Daniel Baugh Institute. Vilevile alikuwa rais wa chama cha 
wachunguzi wa maajabu ya viumbe (Teratology Society), Dr. 
Johnson ameshatunga zaidi ya nyaraka 200. Mnamo mwaka 1981, 
katika mkutano wa saba wa utabibu uliofanyika Dammam, Saudi 
Arabia, Profesa Johnson alipokuwa akiwasilisha nyaraka zake za 
uchunguzi alisema: 

"Kwa ufupi: Qur'an sio tu inafafanua maendeleo ya mfumo 
wa nje, lakini pia inasistizia hatu za ndani, hatua zilizo ndani ya 
kiinitete (mimba), hatua za uumbwaji na ukuaji, inasistizia matukio 
makuu yanayotambulika na sayansi ya kisasa." 

Vile vile amesema: "Nikiwa kama mwanasayansi, ninaweza 
kushughulika na vitu ambavyo ninaviona dhahiri tu. Naweza 



^P 








Muongozo Wa Kuufaharai 


i Uislamu Kwa I 


Jfupi Na Kwa 


Kutumia Vielelezo Vya Picha 







kufahamu utungo wa mimba na ukuaji wa kibailojia. Naweza 
kufahamu matamko niliyotafsiriwa kutoka katika Qur'an. Kama 
nilivyotangulia kutoa mfano hapo mwanzo, kama ingenilazimu 
kuhamia zama zile zilizoshushwa Qur'an, na nikajua yale 
ninayoyajua leo na kuchambua vitu, nisingeweza kutoa maelezo ya 
vitu, vilivyo elezwa ndani ya Qur'an. Sioni ushahidi wowote wa 
kukanusha kuwa Muhammad, kapata maelezo haya toka sehemu 
fulani. Kwa hiyo sioni chochote kinachopingana na ufahamu wa 
kuwa ufunuo mtakatifu umehusika katika kile alichoweza kukiandika 
Muhammad 1 . 

4) Dr. William W. Hay ni mwanasayansi mashuhuri katika 
utaalamu wa mambo ya bahari. Yeye ni Profesa wa sayansi ya 
jiolojia katika chuo kikuu cha Colorado, University of Colorado, 
Boulder, Colorado, USA. Alikuwa mkuu wa zamani wa shule ya 
Rosenstiel ya mambo ya bahari na sayansi ya hali ya hewa, katika 
chuo kikuu cha Miami, Florida, USA. Baada ya mjadala na Profesa 
Hay juu ya mambo ya hakika yaliotajwa na Qur'an kuhusiana na 
bahari mambo ambayo yamegunduliwa hivi karibuni, amesema: 

"Naona kuwa ni jambo la kusisimua mno kuona kuwa 
maelezo ya aina hii yapo katika maandiko ya kale ya Qur'an tukufu, 
na sina jinsi ya kufahamu yametoka wapi maandiko hayo, ispokuwa 
nafikiri ni jambo la kuvutia mno kuwa maandiko hayo yapo katika 
kitabu hicho na kuwa kazi hii inaendelea kwa ajili ya kugundua 
maelezo hayo, nayo ni maana ya baadhi za ibara." Na pale 
alipoulizwa, kuhusiana na chanzo cha Qur'an, alijibu: 



"Vizuri, nadhani kuwa chanzo chake lazima kitakuwa ni 



Mungu' 



Mtume Muhammad ^ alikuwa hajui kusoma na kuandika. Lakini aliwasomea 
hio Qur'an Maswahaba zake na aliwaamuru baadhi ya maswahaba hao waiandike. 



Muong 


fl^^wa Kuufahamu Uislamu Kwa Ufupi f 


«Ia Kwa Kutum 


a VielelezoJ 


m 



5) Dr. Gerald C. Goeringer ni mhadhiri na ni Profesa mshiriki 
wa tiba ya uzazi na mimba katika kitengo cha baiolojia ya seli, shule 
ya uganga, chuo kikuu cha Georgetown, University, Mjini 
Washington, DC, USA. Katika mkutano wa nane wa kitabibu 
uliofanyika mjini Riyadh, Saudi Arabia, Profesa Goeringer alitoa 
maelezo yafuatayo wakati anawasilisha nyaraka zake za uchunguzi: 

"Kwa kiasi fulani aya chache (aya za Qur'an) zimekusanya 
maelezo kwa upana yanayohusiana na ukuaji wa binadamu tangu 
wakati wa mchanganyikano wa mbegu (Seli pevu za uzazi) kupitia 
(organogenesis). Hakuna sifa za kipekee kama hizo wala rekodi 
kamili za ukuajia wa binadamu, kama vile uainishaji, istilahi, na 
ufafanuzi, zilizokuwepo hapo kabla. Na mara nyingi, kama si zote, 
mathalani, maelezo haya yametangulia kwa karne nyingi kushinda 
rekodi zote zinazotunza hatua mbalimbali za mimba ya binadamu na 
rekodi za ukuaji wa kijusi (kidudu cha manii) rekodi zilizo katika 
maandiko ya zamani ya kisayansi." 

6) Dr. Yoshihide Kozai ni profesa wa heshima (aliestaafu) 
katika chuo kikuu cha Tokyo University, Hongo, Tokyo, Japan, Na 
alikuwa mkurugenzi wa kituo cha taifa cha uchunguzi wa hali ya 
anga cha Japani, katika mji wa Mitaka, Tokyo, Japan, amesema: 

"Nimevutiwa sana kwa kukuta ukweli na uhakika wa mambo 
ya anga ndani ya Qur'an, na sisi, wanaanga wa kisasa tumejifunza 
sehemu ndogo tu za ulimwengu. Katika juhudi zetu tumezingatia 
sana juu ya sehemu ndogo sana ya ulimwengu. Na hii ni kwa sababu, 
kwa kutumia darubini, tunaweza kuona sehemu ndogo tu ya mbingu 
bila kufikiri kuhusu ulimwengu mzima. Kwa hivyo kutokana na 
kusoma Qur'an na kujibu maswali, nafikiri naweza kupata njia yangu 
ya badae (mustaqbali, future) itakayoniwezesha kuchunguza 
ulimwengu. 

7) Profesa Tejatat Tejasen ni mwenyekiti wa kitengo cha 
Anatomia katika chuo kikuu cha Chiang Mai, nchini Thailand. 



■ 




^ 








Muons 


;ozo W 


'a Kuufahamu Uisl 


amu Kwa I 


Jfupi Na Kwa 


Kutumia Vielelezo Vya Picha 


i 





Zamani, alikuwa ni mkuu wa kitivo cha udakitari katika chuo kikuu 
hicho hicho. Katika kipindi cha mkutano wa nane wa kitabibu ulio 
fanyika Riyadh, nchini Saudi Arabia, profesa Tejasen alisimama na 
kusema: 

"Katika kipindi cha miaka mitatu, nimekuwa navutiwa na 
Qur'an .... Kutokana na uchunguzi wangu na kile nilichojifunza 
kutoka katika mkutano huu, naamini kuwa kila kitu kilichosajiliwa 
ndani ya Qur'an kwa karne kumi na nne zilizopita lazima kitakuwa 
ni kitu cha kweli, ambacho kinaweza kuthibitishwa na vigezo vya 



kisayansi. Na kutokana na kuwa mtume Muhammad s» alikuwa 
hajui kusoma wala kuandika, Muhammad lazima atakuwa ni mjumbe 
(wa Mungu), ambae ndie alieuleta ukweli huu, ambao ulifunuliwa 
kwake ukiwa kama mwangaza kutoka kwa anaestahiki peke yake 
kuwa ni Muumba. Muumbaji huyu lazima atakuwa ni Mungu. Kwa 
hivyo, nafikiri huu ni wakati muafaka wakusema La ilaha ilia Allah, 
Hapana Mola apasaye kuabudiwa kwa haki ispokuwa Allah, 
Muhammadur rasoolu Allah, Muhammad ni Mtume wa Mungu. 
Mwisho ni wajibu wangu kutoa pongeza kwa haya maandalizi yenye 

mafanikio ya hali ya juu kuhusiana na mkutano huu nimepata 

faida, sio tu kutokana na mtazamo wa kisayansi na mtazamo wa dini, 
lakini pia nimefaidika kwa kupata nafasi tukufu ya kukutana na 
wanasayansi wengi mashuhuri na nimepata marafiki wengi wapya 
miongoni mwa washiriki katika mkutano huu. Kitu cha thamani sana 
katika hivyo, nilichokipata kwa kuja kwangu katika sehemu hii ni La 
ilaha ilia Allah, Muhammadur rasoolu Allah, na kuwa nimekuwa 
muislamuu." 

Baada ya mifano yote hii tuliyoiona kuhususiana na miujiza 
ya kisayansi iliyomo ndani ya Qur'an na baada ya maelezo yote ya 
wanasayansi juu ya jambo hili, hebu wacha tujiulize maswali haya: 

► Je inawezekana kuwa ni bahati tu kuwa maelezo yote haya ya 
ugunduzi wa kisasa wa kisayansi kutoka katika sekta mbali mbali 



Wa Kuufahamu 







Kutumia Vielelez 


o \ ya P.cha 



yaliyotajwa ndani ya Qur'an, ambayo imeshushwa tangu karne kumi 
na nne zilizopita? 

► Je inawezenaka kuwa hii Qur'an imetungwa na Muhammad au 
mtu mwengine yeyote? 

Jibu pekee linaloweza kupatikana ni kwamba Qur'an lazima 
itakuwa ni maneno halisi ya Mwenyezi Mungu, yaliyofunuliwa nae 
(Mwenyezi Mungu ). 

(Kwa maelezo zaidi, makala za moja kwa moja, vitabu, au 
kanda za video za miujiza ya kisayansi ndani ya Qur'an, takatifu, 
Tafadhali tembelea www.islam-guide.com/science au wasiliana na 
moja ya Jumuiya zilizoorodheshwa katika ukurasa wa, 69.) 



(2) Changamoto Kuu ya Kuunda Sura Moja 
kama Sura za Qur'an Tukufu 

Mwenyezi Mungu amesema katika Qur'an: 

{Na ikiwa mna shaka kwa hayo tuliyo 
mteremshia mja wetu basi leteni sura moja 
ya mfano wake, na muwaite mashahidi wenu 
badala ya Mwenyezi Mungu, ikiwa mnasema 
kweli. Na mkitofanya - na wala hamtofanya 
kamwe - basi uogopeni moto ambao kuni 
zake ni watu na mawe walio andaliwa hao 
wanao kanusha. Na wabashirie walio amini 
na wakatenda mema kwamba watapata 
mabustani yapitayo mito kati yake....X 
Qur'an, 2:23-25 

Tangu kushushwa Qur'an, karne kumi na nne zilizopita, 
hakuna mtu hata mmoja aliyeweza kutunga sura moja tu iliyo mfano 
wa Sura za Qur'an kiuzuri, kiumbuji (ufasaha na ushawishi), kiutamu 



■ 


_-■ 




Muons 


p^TWa Kuufahamu Uislamu Kwa Ufupi Na Kwa 


Kutumia Vielelezo Vya . icna 



wa maneno, sheria za kihekima, maelezo ya kweli, utabiri wa kweli, 
na sifa nyenginezo za ukamilifu. Pia zingatia kuwa, sura iliyo ndogo 
kabisa katika Qur'an ni (Sura ya 108) ambayo ina jumla ya maneno 
kumi tu, Lakini pamoja na hivyo hakuna kiumbe yeyote aliyeweza 
kuifikia changamoto hii, tangu enzi hizo mpaka leo . Baadhi ya 
Wapagani wa kiarabu ambao walikuwa ni maadui wa Muhammad 



s» walijaribu kutaka kuifikia changamoto hii ili kutaka kuthibitisha 
kuwa Muhammad si Nabii wa kweli, lakini walishindwa kutekeleza 
jambo hilo. Kushindwa huko kulitokea ingawa ni kweli kwamba 
Qur'an ilishushwa kwa lugha na lahaja yao na kwamba Warabu wa 



wakati huo wa Muhammad 3® walikuwa ni wnaumbuji hodari (lugha 
ya kushawishi ufasaha-balagha) ambao walitunga mashairi mazuri na 
yenye ubora wa hali ya juu ambayo yanaendelea kusomwa na 
kuthaminiwa mpaka leo hii. Sura ya 108 ambayo ndio sura ndogo 
kabisa katika Qur'an, yenye Maneno kumi tu, Lakini mpaka sasa 
hakuna hata mtu mmoja aliyeweza kuifikia hiyo changamoto ya 
kutunga sura moja iliyo kama sura za Qur'an. 



Sura iliyo ndogo zaidi 
katika Qur'an (Sura 108) 
ina jumla ya maneno 
kumi, Lakini mpaka sasa 
hakuna hata mtu mmoja 
aliyeweza kuifikia hiyo 
changamoto ya kutunga 
sura moja iliyo kama 
sura za Qur'an. 













<M, 



% 



^S£> ^fi* <*£ Ji*!V M\ X*> j-A^ /*\ y*J j** *AV y*v .^v s*£. J** sjv. SjBi. SJV. .WtV 

■jj» \1^ VY/ g/ Vg W OT, ^ % ^ jji ^, % ^/ S ^? ft •» ■JB 



1 Angalia: Al-Borhan fee Oloom Al-Qur'an, Al-Zarkashy, kitabu cha pili, ukurasa 
wa, 224. 

2 Wapagani ni watu wa aina yeyote wanaoabudu Masanamu, Jua, Mwezi, Moto, au 
kitu chchote kwa imani ya kuwa ni mungu, wakati huohuo wanakiri kuwa kuna 
Mungu wa kweli (Allah). 

" Angalia: Al-Borhan fee Oloom Al-Qur'an, Al-Zarkashy, kitabu cha pili, ukurasa 
wa, 226. 







■ 


M U C„ g O ZC 


^^a Kuufahamu Uislamu Kwa Ufupi Na Kwa Kutumia Vielelezo^ 


^ 



(3) Utabiri wa Biblia juu ya kuja kwa 
Muhammad 3B, Mtume wa Uislamu 

Utabiri wa Biblia juu ya 

kuja kwa Mtume Muhammad ssl 
ni uthibitisho juu ya ukweli wa 
Uislamu kwa watu wanaoamini 
Biblia. 

Katika kumbukumbu ya torati 
18, Musa ameeleza kuwa Mungu 
amemwambia: 




"Mimi nitawaondokeshea nabii miongoni mwa 
ndugu zao mfano wako wewe, na nitatia 
maneno yangu kinywani mwake, nae 
atawaambia yote nitakayo mwamuru. Hata 
itakuwa, mtu asiyesikililiza maneno yangu 
atajayo sema yule kwa jina langu, nilitaka 
kwake." kumbukumbu ya torati 18-19 

Kutokana na aya hizi tunahitimisha kwa kusema kuwa Nabii 
aliyetajwa ndani ya utabiri huu lazima atakuwa na sifa tatu zifuatazo: 

1 ) Ya kwamba atukuwa anafanana na Musa. 

2) Ya kwamba atakuwa ni miongoni mwa ndugu wa 
waizraeli, yaani atatokea ukoo wa Ismaili. 

3) Ya kwamba Mwenyezi Mungu ataweka Maneno 
yake kwenye kinywa cha Mtume huyu na kwa hivyo 
basi atatangaza kile ambacho Mungu amemuamuru. 

Wacha tuzichunguze kwa undani zaidi sifa tatu hizi. 



^ 










Muongozo Wa Kuufahami 


i Uislamu Kwa I 


Jfupi Na Kwa 


Kutumia VielelezoJH icna 



1) Nabii kama Musa: 

Hakukuwa na Manabii wawili waliokuwa wakifanana sana 

kama Musa na Muhammad s». Wote wawili walipewa sheria na 
kanuni za maisha zilizokamilika. Wote walikabiliana na maadui zao 
na wakawashinda kwa njia za kimiujiza. Wote wawili walikubaliwa 
kuwa ni Mitume na ni Watawala wa nchi zao. Wote waliihama miji 
yao kufuatana na njama za kuwaua. Mlingano kati ya Musa na Yesu 
(Isa) hauafikiani sio tu kwa sifa za kufanana zilizotajwa hapo juu 
lakini pia kwa sifa nyinginezo muhimu sana. Na miongoni mwa sifa 
hizo ni kuzaliwa kwa njia za kikawaida, maisha ya kifamilia, na 

kifo cha Musa na Muhammad ^ lakini hayo hayapo kwa Yesu (Isa). 
Na zaidi ya hayo Yesu alizingatiwa na wafuasi wake kuwa ni Mwana 
wa Mungu na si mtume wa Mungu tu, kama walivyokuwa Musa na 



Muhammad a» na kama waisilamu wanavyoamini kuwa hivyo 
ndivyo alivyokuwa Yesu. Kwa hiyo, utabiri huu unaelekezwa kwa 

Muhammad $» na sio kwa Yesu, kwa sababu Muhammad 3» ndiye 
anayefanana zaidi na Musa kuliko Yesu. 

Vile vile mojawapo ya maandiko katika Injili ya Yohana 
yanaeleza kuwa Mayahudi walikuwa wakisubiri ukamilisho wa kuja 
manabii watatu tofauti: 1) kuja kwa Kristo (Yesu), 2) kuja kwa 
Eliyah, 3) kuja kwa Nabii. Maelezo haya yapowazi kutokana na 
maswali matatu aliyoulizwa Yohana mbatizaji: 

"Viongozi wa Wayahudi waliwatuma 
makuhani na Walawi wakamwulize Yohana, 
"Wewe ni nani?" 20Yohana akawajibu wazi 
wazi pasipo kuficha, "Mimi siye Kristo." 
21Wakamwuliza, "Wewe ni nani basi? 
Wewe ni Eliya ?" Akajibu, "Hapana, mimi 
siye." "Wewe ni yule Nabii?" Akajibu, 
"Hapana." Yohana 1:19-20 



Wa Kuufahamu 







Kutumia Vielelez 


o \ ya P.cha 



Kama tutaangalia katika Biblia pamoja na marejeo, katika 
noti za pambizoni sehemu ambayo neno "Prophet-nabii" lilitokea 
katika Yohana 1:21, tutakuta kuwa maneno hayo yanaashiria utabiri 
wa Kumbukumbu ya torati 18:15 na 18:18/ Kutokana na hayo 
tunakamilisha kuwa Yesu Kristo sio mtume alietajwa katika 
kumbukumbu ya torati 18:18. 

2) Ni miongoni mwa ndugu wa waizraeli: 

Ibrahim alikuwa na watoto wawili, Ismaili na Isaka (Mwanzo 
21). Ismaili akawa babu wa taifa la Waarabu, na Isaka akawa babu 
wa taifa la Wayahudi. Nabii aliyeelezwa hakuwa ni mwenyekuja 
kutokea miongoni mwa Wayahudi wenyewe, lakini atatokea 



miongoni mwa ndugu zao yaani kizazi cha Ismaili. Muhammad a®, 
ambae ni mjukuu wa Ismaili, bila shaka ndie huyo Nabii alietabiriwa. 

Villevile Isaya 42:1-13. inazungumzia kuhusu mtumishi wa 
Mungu, "Mteule" wake na ni "Nabii" atakaeleta Sheria. "Hata 
zimia wala hata kata tamaa, hata atakapoweka hukumu duniani; 
na visiwa vitaingojea sheria yake." Isaya 42:4 

Aya ya 11 inafungamana na Nabii mtarajiwa kutoka kizazi cha 
Kedar. Kedar ni nani? Kulingana na maelezo ya Mwanzo 25:13, 
Kedar alikuwa ni mtoto wa pili wa Ismaili, Kader alikuwa ni mhenga 

(babu) wa Mtume Muhammad $». 

3) Mwenyezi Mungu ataweka Maneno yake katika kinywa cha 
Nabii huyu: 

Maneno ya Mwenyezi Mungu (Qur'an takatifu) kwa kweli 
yaliwekwa katika kinywa cha Nabii Muhammad ss®. Mwenyezi 



1 Tazama notes za pambizoni katika The NIV Study Bible, New International 
Version on verse 1:21, p. 1594. 



"Wa Kuufahamu U 



fupi Na Kwa 



Vielelezo Vya Picha 



Mungu alimtuma Malaika Jibrili (Gabriel) kwenda kumfundisha 

Muhammad tm, Maneno asilia ya Mwenyezi Mungu (Qur'an 
Takatifu) na alimuamuru Muhammad awasomee watu maneno hayo 
kama alivyoyasikia. Kwa hiyo hayo maneno si maneno ya 
Muhammad. Hayo maneno hayakuja kutoka kwenye fikra zake 
binafsi, lakini yaliwekwa katika kinywa chake kupitia Malaika 



Jibrili. Katika kipindi cha uhai wa Muhammad 3» na chini ya 
usimamizi wake, wafuasi wake waliyahifadhi na kuyaandika maneno 
hayo. 

Zingatia kwamba Mungu amesema katika utabiri wa 
kumbukumbu ya torati: "hata itakuwa mtu asiye sikiliza 
maneno yangu atajayosema yule kwa jina langu nilitaka 
kwake." kumbukumbu ya Torati 18:19 

"If anyone does not listen to my words that the prophet speaks in my 
name, I myself will call him to account. " (Deuteronomy, 18:19) Hii 
ikiwa na maana kuwa mtu yeyote anaeamini Biblia anapaswa kuamini 



kinachosemwa na Nabii huyo, na Nabii huyo ni Muhammad 



(Kwa maelezo zaidi kuhusu Muhammad 
tafadhali tembelea www.islam-guide.com/mib ). 



ndani ya Biblia 



(4) Aya za Qur'an Ambazo zimeeleza 

kutokea Matukio katika Siku za mbele na 

Kisha Yakatokea 

Mfano wa matukio yaliyo tabiriwa katika Qur'an ni ushindi 
wa Warumi dhidi ya Wafursi ndani ya kipindi cha miaka mitatu hadi 







■ 


M U C„ g O ZC 


^^a Kuufahamu Uislamu Kwa Ufupi Na Kwa Kutumia Vielelezo^ 


^ 



tisa baada ya Warumi kushindwa vibaya na Wafursi. Mwenyezi 
Mungu amesema katika Qur'an: 

^Warumi wameshindwa, Katika nchi iliyo 
karibu. Nao baada ya kushindwa kwao 
watashinda, Katika miaka michache. Amri 
ni ya Mwenyezi Mungu kabla yake na 
baada yake. Na siku hiyo Waumini 
watafurahi) Qur'an, 30:2-4 

Hebu acha tuone historia inatuambia nini kuhusu vita hivyo. 
Kitabu kiitwacho History of the Byzantine State kinasema kuwa 
jeshi la Warumi lilishindwa vibaya sana katika eneo la Antokia 
(Antioch) mnamo mwaka 613, na matokeo yake Wafursi walisonga 
mbele kidogo kidogo kila upande . Kwa wakati huo ilikuwa ni 
vigumu kufikiria kuwa Warumi wangeweza kuja kuwashinda 
Wafursi, lakini Qur'an ilitabiri kuwa Warumi watakuwa Washindi, 
ndani ya kipindi cha miaka mitatu hadi tisa. Na mnamo mwaka 622, 
ikiwa ni miaka tisa tangu kushindwa kwa Warumi, Majeshi hayo 
mawili (Warumi na Wafursi) yalikutana katika viwanja vya Armenia, 
na matokeo yalikuwa ni ushindi mkubwa wa Warumi dhidi ya 
Wafursi, na hiyo ikiwa ni kwa mara ya kwanza tangu kushindwa kwa 
Warumi mnamo mwaka 613. 2 Utabiri ulikamilika, kama Mwenyezi 
Mungu alivyosema katika Qur'an. 



Vilevile zipo aya nyingi ndani ya Qur'an na Hadithi za 



Muhammad 3®. ambazo zinataja matukio ya siku za mbele ambayo 
baadae yakatokea. 



1 History of the Byzantine State, Ostrogorsky, ukurasa wa, 95 

2 History of the Byzantine State, Ostrogorsky, ukurasa wa, 100-101 Na pia katika 
kitabu: History of Persia, Sykes, Vol. 1, ukurasa wa, 483-484. Vilevile angalia 
kitabu: The New Encyclopaedia Britannica, Micropaedia Vol. 4, ukurasa wa, 1036. 



■ 


_-■ 




Muons 


p^TWa Kuufahamu Uislamu Kwa Ufupi Na Kwa 


Kutumia Vielelezo Vya . icna 



(5) Miujiza iliyofany wa na Mtume 
Muhammad £s 



Miujiza mingi ilifanywa na Mtume Muhammad s»l kwa 
ruhusa ya Mungu. Miujiza hiyo ilishuhudiwa na watu wengi. Kwa 
mfano: 

■ Pale makafiri wa Makka walipomtaka Mtume Muhammad 

s» awaonyeshe miuujiza, akawaonyesha muujiza wa kupasuka kwa 
Mwezi. 

■ Muujiza mwingine ulikuwa ni kububujika maji kutoka 

katika vidole vya Muhammad ^®. Pale wafuasi wake walipopatwa na 
kiu na walikuwa hawana maji ispokuwa maji kidogo yaliyokuwepo 
katika chombo. Walimuendea Mtume na wakamwambia ya kuwa 
hawana maji ya kutawadha wala ya kunywa ispokuwa yale 

yaliyokuwa katika chombo. Kwa hiyo, Muhammad $». aliingiza 
Mkono wake katika kile chombo, na maji yakaanza kububujika 
kutoka katikati ya vidole vyake. Kwa hivyo wakanywa na 
kutawadha. Idadi yao ilikuwa ni wafuasi elfu moja na miatano. 

Vilevile kulikuwa na miujiza mingine mingi ambayo 
ilifanywa na Mtume au iliyomtokea. 

(6) Maisha ya hali ya chini ya Muhammad $i 

Kama tutalinganisha maisha ya Muhammad kabla ya kupewa 
ujumbe akiwa ni mtume na maisha yake baada ya kuanza kutekeleza 
kazi ya utume, Tutahimisha kuwa haingii akilini kudhani kuwa 



Saheeh Al-Bukhari, #3637, na Saheeh Muslim, #2802 
Kitabu: Saheeh Al-Bukhari, #3576, na Saheeh Muslim, #1856. 



Wa Kuufahamu 







Kutumia Vielelez 


o \ ya P.cha 



Muhammad 3® alikuwa ni mtume wa uongo, ambae amedai utume ili 
achume mali, ukubwa, utukufu, au nguvu. 

Kabla ya kazi yake ya utume hakuwa na matatizo yoyote ya 
kiuchumi. Akiwa ni mfanyabiashara mashuhuri na aliefanikiwa, 



Muhammad 8» alijihakikishia kujitosheleza na pato la kufarijisha. 
Baada ya kupewa kazi ya utume na kwasababu ya utume huo, akawa 
na hali ngumu kiuchumi. Ili kubainisha hayo kwa uwazi zaidi, acha, 
tupitie kauli zifuatazo zinazohusiana na maisha yake: 



Aisha, ambaye alikuwa ni mke wa Muhammad si®, 
amesema: "Oo mtoto wa kaka yangu, tulikuwa tunaona 
miezi miandamo mitatu katika kipindi cha miezi miwili 
bila kuwasha moto (wa kupikia chakula) katika nyumba 

za mtume a®", Naye akauliza: "Oo shangazi, mlikuwa 
mnakula nini ili muishi? Naye akasema: "tulikuwa 
tukiishi kwa kula vitu viwili vyeusi, navyo ni tende na 



maji, lakini Mtume s» alikuwa na baadhi ya majirani wa 
kianswar 1 ambao walikuwa wana ngamia wa maziwa na 



walikuwa wakimletea Mtume 



hao. 2 ". 
"Sahli ibni 

Muhammad » 



maziwa ya ngamia 



Saadi, mmojawapo wa wafuasi wa 
, amesema: "Mtume wa Mwenyezi Mungu 



«», hajauona mkate uliotengezwa kwa ngano nzuri sana 
tangu wakati alipotumwa na Mwenyezi Mungu (akiwa ni 
mtume) hadi anafariki." 



Ansar ni wafuasi wa Mtume ambao ni wenyeji wa Madina, ambao walimpokea 
na kumnusuru Mtume. 
2 Saheeh Muslim, #2972, vilevile angalia, Saheeh Al-Bukhari, #2567. 





mgozo Wa Kuufahamu Uislamu Kwa Ufupi Na Kwa 


Kutumia Vielelezo Vyii . icna 



Aisha, mke wa Muhammad, amesema: "Godoro la 



Mtume sP, alilokuwa akilalia, lilikuwa limetengenezwa 

kwa ngozi na kujazwa kwa nyuzi nyuzi za madifu ya 

Mtende". 1 

Amr Ibn Al-Harith, ni mmoja wa wafuasi 



wa 



Muhammad si, amesema kuwa wakati Mtume 3i, 
alipofariki dunia, hakuacha fedha wala kitu kingine 
chochote ispokuwa nyumbu (baghla-mule) 2 wake 
mweupe aliekuwa akimpanda, silaha yake na kipande 
cha ardhi ambacho alikitoa sadaka. 3 ". 



Muhammad 3» aliishi maisha haya magumu mpaka ameaga 
dunia, ingawa hazina ya mali ya waisilamu ilikuwa chini ya 
usimamizi wake, sehemu kubwa ya bara Arabu ya uarabuni ilikuwa 
ni maeneo ya Uislamu kabla hajafariki, na waisilamu walikuwa ni 
washindi baada ya miaka kumi na minane ya kazi yake ya utume. 



Je inawezekana kuwa Muhammad *& alidai utume ili apate 
madaraka, utukufu, na nguvu? Tamaa ya kustarehe na madaraka na 
nguvu mara nyingi inafungamana na chakula kizuri, mavazi ya 
kifahari, makasri makubwa, walinzi wakakamavu, na mamlaka 
yasiopingwa. Je sifa yeyoto katika hizo inahusiana na Muhammad 



3»? Muono mdogo unaofuata kuhusiana na maisha yake unaweza 
kusaidia kujibu swali hili. 

Pamoja na majukumu yake akiwa, ni mtume, mwalimu, mkuu 

wa dola na ni hakimu, Muhammad ^ alikuwa akimkama mbuzi 
wake yeye mwenyewe, alikuwa akitia viraka nguo zake na 



1 Saheeh Muslimu, #2082, na Saheeh Al-Bukhari, #6456. 

2 Mnyama aliezaliwa kwa kuchanyanga kati ya farasi na punda. 

3 Saheeh Al-Bukhari, #2739, na Mosnad Ahmad, #17990. 



Wa Kuufahamu 







Kutumia Vielelez 


o \ ya P.cha 



kutengeneza viatu vyake, alikuwa akisaidia kazi za nyumbani, na 
kutembelea maskini walipokuwa wagonjwa. Vilevile aliwasaidia 
wafuasi zake kuchimba handaki kwa kusomba mchanga akiwa 
pamoja nao yeye mwenyewe. Maisha yake yalikuwa ni ya mtindo wa 
kustaajabisha wa hali ya chini na unyenyekevu. 



Wafuasi wa Muhammad vm walimpenda, walimuheshimu, na 
walimuamini kwa upeo wa kustaajabisha. Lakini bado alikuwa 
anaendelea kusisitizia kuwa ibada inatakiwa ielekezwe kwa 
Mwenyezi Mungu na wala sio kwake yeye binafsi. Anasi, mmoja wa 

maswahaba wa Muhammad sss, amesema kuwa hakukuwa na mtu 

waliempenda sana kuliko Muhammad $&, lakini, wakati Muhammad 



^ alipowaendea, hawakumsimamia, kwa sababu Mtume alikuwa 
anachukia kuona wanamsimamia, kama wafanyavyo watu wengine 
kwa wakubwa zao . 

Kipindi kirefu kabla ya kuwepo kwa mtazamo wa kufanikiwa 
kwa Uislamu na mwanzoni mwa muongo mrefu wa kuhuzunisha, 



mateso, maumivu, na kuudhiwa Muhammad 



pamoja na wafuasi 

wake kwa ajili ya dini, Otba, alimuendea Muhammad sS na 
kumwambia: "...Kama unataka mali, sisi tutakukusanyia mali ya 
kukutosha ili uwe tajiri kuliko sisi sote. Na kama unataka madaraka, 
tutakufanya uwe kiongozi na kamwe hatutotoa uamuzi wa jambo 
lolote bila ya idhini yako. Na kama unataka ufalme, tutakuvisha taji 



uwe mfalme wetu..." Na Muhammad 3H alitakiwa akubali jambo 
moja tu liwe ndio malipo ya ahadi hizo, nalo ni kutupilia mbali wito 
wa kuwalingania watu kuingia katika Uislamu na kumuabudu Mungu 
peke yake bila ya mshirika. Je ahadi hii haikuwa ni ya kushawishi 



kwa yeyote anaefuatilia manufaa ya kilimwengu? Je Muhammad 



1 Mosnad Ahmad, #121 17, pia katika Tirmizi,#2754. 



alikuwa ni mwenye kusitasita ilipotolewa ahadi hii? Je aliishusha 
ahadi hiyo iwe kama ni aina ya mikakati ya kupatana bei huku 
akiuacha wazi mlango wa makubaliano ili apate ahadi nzuri zaidi ya 
hiyo? Lifuatalo ndilo lilokuwa jibu lake: { kwa jina la mwenyezi 
mungu mwingi wa rehema mwenye kurehemu } Na akamsomea 
Otba aya za Qur'an, 41:1-38. Na zifuatazo ni baadhi ya aya hizo: 



^H'a Mini, Uteremsho huu umetoka kwa 
Mwingi wa rehema, Mwenye kurehemu, 
Hichi ni Kitabu kilicho pambanuliwa Aya 
zake, cha kusomwa kwa Kiarabu kwa watu 
wanao jua, Kitoacho khabari njema, na 
chenye kuonya. Lakini wengi katika wao 
wamepuuza; kwa hivyo hawasikii) Qur'an, 
41:1-4. 

Katika tukio lingine na akiwa katika kujibu ombi la baba yake 
mdogo la kumtaka aache kuwaita watu kuingia Uislamu, jibu la 



Muhammad si lilikuwa ni la kukata shauri na ni la dhati: {Naapa 
kwa jina la Mungu, ee baba mdogo! kama wangeweka jua katika 
mkono wangu wa kulia na mwezi katika mkono wangu wa 
kushoto ili niache jambo hili la (kuwaita watu katika Uislamuu), 
kamwe sito acha mpaka ima Mungu aamuwe jambo hilo lishinde 
au niangamie kwa kulilinda jambo hilo} 2 ." 



Muhammad S» na wafuasi wake wachache, sio tu kuwa 
walisumbuka kutokana na mateso kwa muda wa miaka kumi na tatu, 

lakini pia makafiri walijaribu kutaka kumuua Muhammad ssS kwa 
mara kadhaa. Katika tukio mojawapo walijaribu kumuua kwa 



Kitabu: Al-Serah Al-Nabaweyyah, Ibn Hesham, Vol. 1, ukurasa wa, 293-294. 
Al-Serah Al-Nabaweyyah, Ibn Hesham, Vol. 1, ukurasa wa, 265-266. 



Wa Kuufahamu 







Kutumia Vielelez 


o \ ya P.cha 



kumdondoshea jiwe kubwa, ambalo lingemuangukia kichwani 
mwake , na mara nyingine walijaribu kumuua kwa kumtilia sumu 
katika chakula chake . Nini kinachoweza kutetea uhalali wa maisha 
ya kusafa na kujitoa muhanga kama hayo hata baada ya ushindi dhidi 
ya wapinzani wake? Nini kinachoweza kufafanua maana ya 
unyenyekevu na wema ambao alioudhihirisha katika zama zake 
tukufu sana pale aliposistizia kuwa mafanikio yanatokana na msaada 
wa Mwenyezi Mungu tu na sio kutoka kwenye uhodari wake binafsi? 
Je hizi ndio tabia za mtu mwenye njaa ya madaraka au mbinafsi? 

(7) Ukuaji wa ajabu wa Uislamu 

Mwishoni mwa sura hii, itakuwa ni jambo la kufaa sana 
tukionyesha dalili muhimu za ukweli wa Uislamu. Ni jambo 
mashuhuri sana ndani ya USA na dunia nzima kuwa, Uislamu ndio 
dini inayokua haraka mno kuliko dini zote. Ufuatao ni baadhi ya 
uchunguzi juu ya tikio hilo la ajabu: 

■ "Uislamuu ndio dini inayoenea kwa kasi zaidi Marekani, 
nayo ni muongozo na nguzo thabiti kwa watu wetu 
wengi... "(Hillary Rodham Clinton, Los Angeles Times). 

■ "Waislamu ndio kundi linalokua kwa kasi kubwa 
duniani..." (The Population Reference Bureau, USA Today). 4 

■ "....Uislamuu ndio dini inayokua kwa haraka sana katika 
nchi hii." (Geraldine Baum; muandishi wa habari za dini wa 
gazeti la Newsday). 



1 Al-Serah Al-Nabaweyyah, Ibn Hesham, Vol. 1, ukurasa wa, 298-299 

2 Al-Daremey, #68, na pia angalia: Abu-Dawood, #4510. 

3 Larry B. Stammer, Muandishi wa mambo ya dini wa Times, Los Angeles Times, 
Home Edition, Metro Section, Part B, May 31, 1996, ukurasa wa, 3. 

4 Timothy Kenny, "Elsewhere in the World," USA Today, News Section, Toleo la 
Mwisho, February 17, 1989, ukurasa wa, 4A. 

5 Geraldine Baum, "For love of Allah," Newsday, Nassau and Suffolk Edition, 
News Section, Part II, March 7, 1989, ukurasa wa, 4. 



■ 


^^^^^~" 




Muons 


p^TWa Kuufahamu Uislamu Kwa Ufupi Na Kwa 


Kutumia Vielelezo Vya . icna 



■ "Uislamuu, ni dini inayoenea kwa haraka zaidi Marekani..." 
(Ari L. Goldman, New York Times). 1 

Jambo hili la kustaajabisha, linaonyesha kuwa Uislamuu ni 
dini ya Mungu iliyo ya kweli. Haingii akilini kudhania kuwa 
Wamarekani wengi na watu wa kutoka nchi tofauti tofauti 
wamesilimu na kuingia katika Uislamu bila kufikiria kwa makini na 
kutafakari kwa kina kabla ya kuhitimisha kuwa Uislamu ni dini ya 
kweli. Huu ubadilishaji wa dini umetokea katika nchi mbali mbali, 
matabaka mbali mbali, makabila mbali mbali, na kazi za kimaisha 
mbali mbali. Wakiwemo wanasayansi, maprofesa, wanafalsafa, 
waandishi wa habari, wanasiasa, wasanii, na, wanariadha. 

Pointi zilizotajwa katika sura hii zinajenga baadhi ya ushahidi 
tu unaounga mkono imani ya kuwa Qur'an ni maneno halisi ya 
Mungu, na kuwa Muhammad (S.AW) ni Mtume wa kweli alietumwa 
na Mungu, na kuwa dini ya Kiislamu ni dini ya kweli ya Mwenyezi 
Mungu. 



1 Ari L. Goldman, Muandishi wa Gazeti la New York Times, Late City toleo la 
Mwisho, February 21, 1989, ukurasa wa, 1. 



Wa Kuufahamu 







Kutumia Vielelez 


o \ ya P.cha 



Sura 2 



UlSI^JkHU 



Uislamuu unatoa faida nyingi kwa mtu mmoja mmoja na kwa jamii 
nzima. Sura hii inataja baadhi ya faida zinazopatikana kupitia 
Uislamu kwa kila mmoja. 

(1) Mlango wa Kuingia Peponi 

Mwenyezi Mungu amesema katika Qur'an: 

^Na wabashirie walio amini na wakatenda 
mema kwamba watapata mabustani 
yapitayo mito kati yake ) Qur'an, 2:25 

Vilevile Mwenyezi Mungu ameasema: 

(Kimbilieni msamaha wa Mola wenu 
Mlezi, na Pepo ambayo upana wake ni 
kama upana wa mbingu na ardhi, iliyo 
wekewa walio muamini Mwenyezi Mungu 
na Mitume wake....) Qur'an, 57:21 



Mtume Muhammad $& ametueleza ya kwamba mtu wa daraja 
la chini kabisa miongoni mwa watu wa Peponi atakuwa na pepo ya 
ukubwa wa mara kumi ya ukubwa wa dunia, na atapata kila kitu 



1 Saheeh Muslim, #186, na Saheeh Al-Bukhari, #6571. 



anachotamani kikiwa ni zaidi ya mara kumi ya alichokitamani. 

Vilevile Mtume Muhammad 3» amesema: { Sehemu ndogo ya Pepo 
yenye ukubwa sawa na futi moja ni bora kuliko dunia na 
vilivyomo ndani yake 3 } Vilevile amesema: {Peponi kuna vitu 
ambavyo hakuna jicho lililowahi kuviona, hakuna sikio lilowahi 
kuvisikia na hakuna mtu yeyote aliewahi kuvifikiria 4 } Vilevile 
amesema: {Mtu mwenye hali ngumu sana duniani miongoni 
rawa watu wa Peponi ataingizwa Peponi. Kisha ataulizwa: "Ewe 
mwanadamu, je umeshawahi kuona maisha ya shida? je 
umeshawahi kupata ya maisha ya dhiki?" Naye atasema: 
"Hapana, Naapa kwa Mwenyezi Mungu, Ee Mola! Kamwe 
sijawahi kukabiliana na maisha ya shida, na kamwe sijawahi 
kupata maisha ya dhiki."} 

Kama utaingia Peponi, utaishi maisha ya furaha sana bila 
kuumwa, kupata maumivu, huzuni, wala kufa; Mwenyezi Mungu 
atakuridhia nawe utaishi humo milele. Mwenyezi Mungu amesema 
katika Qu'an: 

{Na wale walio amini na wakatenda mema 
tutawaingiza katika Pepo zipitazo mito kati 
yake kwa kudumu humo milele. Huko 
watakuwa na wake walio takasika, na 
tutawaingiza katika vivuli vizuri kweli) 
Qur'an, 4:57 



1 Saheeh Muslim, #188, na Mosnad Ahmad, #10832. 

2 Saheeh Al-Bukhari, #6568, na Mosnad Ahmad, #13368. 

" Akimaanisha kuwa kama mtu atapewa sehemu ndogo sana katika pepo sawa na 
unyayo wa mtu basi mtu huyo atafaidika zaidi kuliko kama angepewa dunia nzima 
na vilivyomo ndani yake hii ni kuonyesha thamani ya ubora wa pepo, neema zake, 
na raha zake 
4 Saheeh Muslim, #2825, na Mosnad Ahmad, #8609. 



Wa Kuufahamu 







Kutumia Vielelez 


o \ ya P.cha 



(Tafadhali tembelea www.islam-guide.com/hereafter kwa 
maelezo zaidi kuhusu Pepo au Maisha baada ya kifo.) 

(2) Wokovu wa Kuepukana na Moto 

Mwenyezi Mungu amesema katika Qur'an: 

lHakika wale walio kufuru, na wakafa hali 
ni makafiri haitakubaliwa kutoka kwa 
yeyote wao fidia ya dhahabu ya kujaza 
dunia nzima lau wangeli itoa. Hao watapata 
adhabu chungu, wala hawatakuwa na wa 
kuwanusuru) Qur'an, 3:91 

Kwahiyo, maisha haya ni nafasi yetu ya pekee ya kushinda ili 
tuingie Peponi na tuepukane na Moto, kwasababu kama mtu atafariki 
ili hali ni Kafiri (haamini Uislamu), hatopata nafasi ya kurudi duniani 
kwa mara nyengine tena ili aje aamini. Kama ambavyo Mwenyezi 
Mungu alivyoeleza katika Qur'an kuhusiana na kitu 
kitakachowatokea watu wasioamini katika siku ya kiyama: 

{Na unge ona watakapo simamishwa 
kwenye Moto, wakawa wanasema: Laiti 
tungeli rudishwa, wala hatutakanusha 
tena Ishara za Mola wetu Mlezi, na 
tutakuwa miongoni wa Waumini}. 
Qur'an, 6:27 

Lakini hakuna mtu yeyote atakaekuwa na nafasi hiyo ya pili. 



Mtume Muhammad 8® amesema: {Mtu mwenye furaha 
sana duniani miongoni mwa watu watakaoingia Motoni katika 
Siku ya Kiyama, ataingizwa Motoni mara moja kisha ataulizwa: 
"Ewe binadamu je umeshawahi kuona kitu kizuri? 



/a Kuufahamu U 



fupi Na Kwa Kutumia Vielelezo \ 



Je umeshawahi kupata kuwa na heri?" Naye atasema: 
"Hapana, Naapa kwa Mwenyezi Mungu, Oo Mola!"} 1 

(3) Furaha ya Kweli na Amani Moyoni 

Furaha ya kweli na amani inaweza kupatikana katika kutii 
amri za Muumba na Mmiliki wa ulimwengu 
Mwenyezi Mungu amesema katika Qur'an: 

{Wale walio amini na zikatua nyoyo 
zao kwa kumkumbuka Mwenyezi 
Mungu. Hakika kwakumkumbuka 
Mwenyezi Mungu ndio nyoyohutua!) 
Qur'an, 13:28 

Kwa upande mwengine, yule atakaeiacha Qur'an 
atakuwa na maisha ya tabu hapa duniani. 
Mwenyezi Mungu amesema: 

{Na atakaye jiepusha na mawaidha yangu, 
basi kwa yakini atapata maisha yenye 
dhiki, na Siku ya Kiyama tutamfufua hali 
ya kuwa kipofu). Qur'an, 20:124 2 




Jambo hili linaweza kufafanua ni sababu gani zinazowafanya 
baadhi ya watu wajiue wakati wanafurahia (wanatesa) kuwa wana 
vitu vya kuwaliwaza na pesa za matumizi. Kwa mfano, mtazame Cat 
Stevens (kwa sasa ni Yusuf Islam), zamani alikuwa ni mwanamuziki 
mashuhuri wa muziki wa Pop ambaye alikuwa wakati mwingine 
akiingiza zaidi ya dola za kimarekani 150,000 kwa usiku mmoja. 
Baada ya kubadili dini na kuwa Muislamu, alipata furaha na amani 



Saheeh Muslim, #2807, na Mosnad Ahamad, #12699. 



Hawajaamini wala hawatendi kulingana na maagizo ya Qur'an. 



Muong 


fl^^wa Kuufahamu Uislamu Kwa Ufupi f 


«Ia Kwa Kutum 


a VielelezoJ 


m 



ya kweli, ambayo alikuwa hajawahi kuipata katika mafanikio yake ya 
kiuchumi. 

Kwa kujisomea habari za watu waliosilimu na kuingia 
Uislamu, tafadhali tembelea: www.islam-guide.com/stories au rejea 
kitabu kiitwacho: Why Islam is Our Only Choice ,(kwa nini Uislamu 
ndio chaguo letu la pekee). Katika ukarasa huu wa mtandao na 
katika kitabu hiki, unaweza kujisomea fikira na mawazo ya watu hao, 
ambao ni watu wa nchi mbalimbali na wana historia na viwango vya 
elimu tofauti tofauti. 

(4) Msamaha wa Dhambi Zote Zilizotangulia 

Pindi mtu anaposilimu, Mwenyezi Mungu anamsamehe dhambi 
na matendo yake maovu yote yaliyotangulia. Mtu aitwae Amr 



alienda kwa Mtume Muhammad 3» na akamwambia: 
"Ninyooshee mkono wako wa kulia ili nile kiapo cha kukuunga 

mkono." Mtume a» akanyoosha mkono wake wa kulia. Amr 

akaondoa mkono wake. Mtume *® akasema: { Oo Amr Una 

nini?} Nae akajibu: "Nilinuia kuweka sharti." Mtume a» 
akamuuliza {Ni sharti gani ulilokusudia kuliwasilisha?} Amr 
akasema: "Nalo ni kwamba Mwenyezi Mungu anisamehewe 

dhambi zangu." Mtume ^ akasema: {Hivi ulikuwa hujui kuwa 
kuingia Uislamu kunafuta madhambi yote yaliyotangulia 3 ?} 



The present mailing address of Cat Stevens (Yusuf Islam), kama ukitaka 
kumuuliza kuhusu hisia zake baada ya kuingia Uislamu nayo ni: Digswell Street, 
London N7 8JX, United Kingdom. 

2 Kitabu hiki kimetungwa na Muhammad H. Shahid. Kwa kujipatia Nakala ya 
kitabu hiki tafadhali tembelea www.islam-guide.com/stories 

3 Saheeh Muslim, #121, vilevile katika Mosnad Ahmad, #17357. 



^^^^^ 


^^^^^^^^^ 








Muongozo Wa Kuufaharau Uis 


larau Kwa I 


Jfupi Na Kwa 


Kutumia Vielelezo Vya Picha 







Baada ya kuingia Uislamu, mtu atalipwa matendo yake 



mazuri au mabaya kulingana na kauli ya Mtume Muhammad 3H 
ifuatayo: {Mola wako, ambaye ni Mwenye kubariki na ni 
Mwenye kutukuza, ni Mwenye rehema sana. Kama mtu 
anakusudia kutenda jema lakini hajalitenda, basi ataandikiwa 
tendo jema. Na kama akilitenda, (malipo yake) ni kuanzia mara 
kumi hadi mara mia saba au zaidi (ikiwa ni malipo ya tendo 
jema moja), ataandikiwa mtu huyo. Na kama mtu anakusudia 
kutenda ovu lakini hajalitenda, ataandikiwa tendo jema. Na 
kama atalifanya, ataandikiwa dhambi moja au Mwenyezi Mungu 
anaweza kumfutia.} 1 



Mosnad Ahmad, #2515, na Saheeh Muslim, #131, 



Wa Kuufahamu 







Kutumia Vielelez 


o \ ya P.cha 



Sura 3 



MAELEZO if A JUMLil 
«JUU ^A UISLAMU 



Uislamu Ni Nini? 

Dini ya Kiisilamu ni kukubali na kutii mafundisho ya Mungu 
aliyoyashusha kwa Mtume wake wa mwisho, Muhammad s». 

Baadhi ya Misingi ya Imani ya Kiisilamu 
1) Kumuamini Mwenyezi Mungu: 

Waislamu wanaamini Mungu ni mmoja, mpweke, Mungu 
asiefanana na chochote ambae hana mwana wala mke, na kuwa 
hakuna apasae kuabudiwa kwa haki ila yeye. Yeye peke yake ndiye 
Mungu wa kweli, na miungu mingine yote ni ya uwongo. Yeye ana 
Majina matukufu na Sifa tukufu za ukamilifu. Hakuna mtu 
anaeshirikiana naye kiuungu, wala sifa zake hizo. Mwenyezi 
Mungu amejieleza, Katika Qur'an: 



^Sema: Yeye Mwenyezi Mungu ni 
wa pekee. Mwenyezi Mungu 
Mkusudiwa. Hakuzaa wala 
hakuzaliwa. Wala hana anaye 
fanana naye hata 
mmoja.) Qur'an, 112:1-4 




Sura ya 1 12 ya Qur'an, iliyoandikwa 
kwa hati ya kiufundi ya kiarabu. 



Uislamu Kwa Ufupi Na Kwa Kutnmia Vielelezo V^Ml'it ha 



Hakuna mtu mwenye haki ya kuombwa dua, kunyenyekewa, 
kuelekezewa sala, au kuonyeshwa tendo lolote la kuabudiwa, 
kinyume na Mwenyezi Mungu Peke yake. 

Mwenyezi Mungu Pekee ndiye Mwenye nguvu, Muumba, 
Mfalme, na ndiye mpaji wa kila kitu ulimwenguni. Yeye ndie 
muendeshaji wa mambo yote. Hategemei chochote katika viumbe 
vyake, na viumbe vyake vyote vinamtegemea kwa yote 
wanayoyahitaji. Yeye ni Mwenye Kusikia, Mwenye Kuona na ni 
Mjuzi wa kila kitu. Ikiwa katika hali ya ukamilifu, elimu yake 
imekizunguka kila kitu, kilicho wazi na kilichofichikana, kitu cha 
umma au cha binafsi. Anajua yaliyotokea, yatakayo tokea na namna 
gani yatakavyo tokea. Hakuna jambo linalotokea katika ulimwengu 
wote ispokuwa linatokea kwa matakwa yake. Chochote atakacho 
ndicho huwa, na chochote asichokitaka hakiwi na kamwe 
hakitakuwa. Matakwa yake yapo juu ya matakwa ya viumbe vyake. 
Yeye ana nguvu juu ya kila kitu, na anaweza kufanya kila kitu. Yeye 
ni Mwingi wa rehema Mwenye kurehemu na ni Mwenye 



kuneemesha. Katika moja ya hadithi za Mtume Muhammad 31 
tumeambiwa kuwa Mungu ni Mpole (Rahimu) sana kwa viumbe 
vyake kuliko upole wa mama kwa mwanawe. Mwenyezi Mungu ni 
Mwenye kuepukana na dhulma na uonevu. Yeye ni Mwenye Hekima 
katika matendo na maamrisho yake yote. Kama mtu anataka kitu 
kutoka kwa Mungu, anaweza kumuomba Mungu moja kwa moja bila 
ya kumtaka mtu mwingine yeyote amuombee kwa Mwenyezi 
Mungu. 

9 

Mwenyezi Mungu sio Yesu, na Yesu sio Mungu . Hata Yesu 
Mwenyewe ameyakana hayo ya kuwa yeye ni Mungu. Mwenyezi 
Mungu amesema katika Qur'an: 



1 Saheeh Muslim, #2754 na Saheeh Al-Bukhari, # 5999. 

2 Mnamo tarehe 25 June 1984, Wakala wa gazeti la Press London, ulitangaza kuwa 
asilimia kubwa ya Maaskofu madhehebu ya kanisa la Anglikana walipokuwa 
katika vipindi vya dini walisema:" hakuna haja kwa Wakristo kuamini kuwa Yesu 



Wa Kuufahamu 







Kutumia Vielelez 


o \ ya P.cha 



(Hakika wamekufuru walio sema: Mwenyezi 
Mungu ni Masihi mwana wa Maryamu! Na 
hali Masihi mwenyewe alisema: Enyi Wana wa 
Israili! Muabuduni Mwenyezi Mungu, Mola 
wangu Mlezi na Mola wenu Mlezi. Kwani 
anaye mshirikisha Mwenyezi Mungu, hakika 
Mwenyezi Mungu atamharimishia Pepo, na 
mahala pake ni Motoni. Na walio dhulumu 

hawatakuwa na wa kuwanusuru X 

Qur'an, 5:72-75 

Mungu si Utatu Mtakatifu. Mwenyezi Mungu amesema katika 
Qur'an: 

{Kwa hakika wamekufuru walio sema: 
Mwenyezi Mungu ni wa tatu wa Utatu. Hali 
hakuna mungu ila Mungu Mmoja. Na ikiwa 
hawaachi hayo wanayo yasema, kwa yakini 
itawakamata adhabu chungu wale wanao 
kufuru > Qur'an, 5:73-75 

Uislamu unapinga madai kuwa Mungu alipumzika katika siku 
ya Saba ya kuumba, na eti Mungu alipigana mieleka na mmoja wa 
Malaika zake, na kuwa Mungu ni Mpangaji njama Mwenye chuki 
dhidi ya binadamu, au kuwa ana Umbo la binadamu. Vile vile 
Uislamuu unapinga sifa za mtu yeyote zenye mfano na Mungu. 
Madai yote hayo yanazingatiwa kuwa, ni kumkufuru Mwenyezi 
Mungu. Mungu ni Mtukufu. Yeye ameepukana kabisa na upungufu. 
Yeye kamwe hatochoka. Yeye Hasinzii wala halali. 



alikuwa ni Mungu," Idadi ya Maaskofu hao wa Kianglikana ilikuwa ni 31 kati ya 
idadi ya Maaskofu wote 39 wa England (Uingereza) Msemaji mkuu wa Maaskofu 
hao 31 wa Kianglikana alisema kuwa Maaskofu 19 kati ya 31 wa Kianglikana, 
wamesema kuwa inatosha kuamini kuwa "Yesu alikuwa ni Wakili Mkuu wa 
Mungu" 



Neno la kiarabu Allah Una maana ya Mungu (mmoja na ni 
Mungu wa kweli pekee aliyeumba Ulimwengu wote). Neno hili 
Allah ni jina la Mwenyezi Mungu, ambalo linatumika na 
wazungumzaji wote wa kiarabu, wawe waislamu au wakristo. Neno 
hili haliwezi kutumika kuashiria kitu chchote zaidi ya Mungu wa 
kweli aliye mmoja. Na neno la kiarabu Allah limetajwa katika 
Qur'an zaidi ya mara 2150. Katika lugha ya Aramaic, lugha ambayo 
inafungamana kwa karibu sana na lugha ya kiarabu na ndio lugha 
ambayo aliitumia Yesu katika mazungumzo yake , katika lugha hiyo 
Mungu anaitwa Allah vile vile. 



2) Kuamini Malaika: 

Waislamu wanaamini kuwepo kwa Malaika na kuwa Malaika 
hao ni Viumbe wema. Malaika wanamuabudu Mungu peke yake, 
wanamtii, na wanatenda kwa mujibu wa amri zake tu. Miongoni 
mwa Malaika kuna Malaika Jibrili (Gabriel) ambaye ndie 



aliyeshusha Qur'an kwa Muhammad 



3) Kuamini Vitabu Vilivyofunuliwa na Mungu: 

Waislamu wanaamini kuwa Mwenyezi Mungu ameshusha 
Vitabu kwa Mitume yake vikiwa ni kama Uthibitisho kwa watu na ni 
muongozo wao. Miongoni mwa Vitabu hivyo ni Qur'an, ambayo, 

Mwenyezi Mungu ameiteremsha kwa Mtume Muhammad «1. 
Mwenyezi Mungu amechukua dhamana ya kuilinda Qur'an kutokana 
na uharibifu au mabadiliko ya aina yoyote. Mwenyezi Mungu 
amesema: 



New International Version, NIV Compact Dictionary of the Bible, Douglas, 
ukurasa wa, 42. 







■ 


M U C„ g O ZC 


^^a Kuufahamu Uislamu Kwa Ufupi Na Kwa Kutumia Vielelezo^ 


^ 



^Hakika Sisi ndio tulio teremsha 
Ukumbusho huu, na hakika Sisi ndio 
tutao ulinda) Qur'an, 15:9 



4) Kuamini Mitume na Manabii wa Mungu: 

Waislamu wanaamini Mitume na Manabii wote wa Mungu, 
kuanzia Adam, na akiwemo Nuhu, Ibrahimu, Ismaili, Isaaka, 
Yakubu, Musa na Yesu (Rehema na amani ziwe juu yao). Lakini 
ujumbe wa mwisho ulioletwa kwa watu, ambao ndio unaoimarisha 

ujumbe wa milele, ulifunuliwa kwa Mtume Muhammad sgg. 
Waisilamu wanaamini kuwa Muhammad ndiye Mtume wa mwisho 
aliyetumwa na Mungu, kama Mungu alivyosema: 

^Muhammad si baba wa yeyote katika 
wanaume wenu, bali ni Mtume wa 
Mwenyezi Mungu na Mwisho wa 
Manabii, na Mwenyezi Mungu ni Mjuzi 
wa kila kitu). Qur'an, 33:40 

Waislamu wanaamini kuwa Manabii na Mitume wote 
waliumbwa wakiwa ni wanadamu ambao hakuna hata mmoja kati 
yao mwenye sifa za Uungu. 

5) Kuamini Siku ya Mwisho (Siku ya hukumu): 

Waislamu wanaamini kuwa ipo siku ya Mwisho (Siku ya kiyama), 
Siku ambayo watu wote watafufuliwa kwa ajili ya hukumu ya Mungu 
kulingana na Imani na matendo yao. 

6) Kuamini Kadari ya Mungu (majaaliwa ya 
Mwenyezi Mungu): 



Waislamu wanaamini kuwepo kwa Kadari, ambayo ni 
majaaliwa ya Mwenyezi Mungu, Lakini imani hii ya kuamini 
majaaliwa ya Mwenyezi Mungu haina maana kuwa binadamu 
hawana hiari. Bali waislamu wanaamini kuwa Mwenyezi Mungu 
amempa binadamu uhuru wa kufanya anachotaka. Hii ikiwa na 
maana ya kuwa binadamu ana uwezo wa kuchagua jema au baya, na 
kuwa binadamu wataulizwa kutokana na machaguo yao. 

Imani ya kuamini majaaliwa ya Mwenyezi Mungu inakusanya 
imani ya vitu vinne: 1) Mwenyezi Mungu anajua kila kitu. Anajua 
kilichotokea na kitakachotokea. 2) Mwenyezi amesharekodi mambo 
yote yaliyotokea na yatakayotokea. 3) Chochote anachokitaka 
Mungu kiwe ndicho kitakachokuwa na chochote asichokitaka kiwe 
kamwe hakitokuwa. 4) Mwenyezi Mungu ni Muumba wa kila kitu. 



(Tafadhali tembelea www.islam-guide.com/beliefs 
maelezo zaidi kuhusu misingi ya imani ya Kiislamu) 

Je kuna Chanzo Kitakatifu 
KingineZaidi ya Qur'an? 



kwa 



Ndio, nacho ni Sunna (yaani yale yaliosemwa na Mtume 

Muhammad 3», aliyoyatenda, au kuyathibitisha) ni chanzo cha pili 
cha sheria za Kiislamu. Sunna zimekusanya hadithi, ambazo ni 
habari zilizonukuliwa kwa njia za kuaminika na wafuasi wa Mtume 

Muhammad «» habari za kile alichosema, tenda au kukiafiki. 
Kuamini sunna ni msingi wa imani ya Kiisilamu. 



Kadari ya Mungu ni Uwezo wake juu yetu, kuwa kuna mambo mengi 
yanamtokea binadamu bila kupenda kwake kwa mfano: Kuumwa au kupata ajali, 
Utajiri na Umasikini, Uhai na Mauti, yote ni Mipango ya Mungu (Kadari) 



Muong 


fl^^wa Kuufahamu Uislamu Kwa Ufupi f 


«Ia Kwa Kutum 


a VielelezoJ 


m 



Mifano ya Maneno ya Mtume 
Muhammad £* 



{Mfano wa waumini, jinsi wanavyopendana, 
kuhurumiana na kufanyiana wema baina yao ni 
sawa na mfano wa Mwili wa binadamu: kama 
kiungo kimoja cha Mwili huo kitauma basi mwili 
wote utakesha kwa homa 1 } 

{Waumini wakamilifu zaidi kiimani ni wale walio na 
tabia nzuri zaidi, na Waumini walio bora zaidi 
miongoni mwao ni wale wanaowatendea vyema 
wake zao 2 } 

{Hawi mmoja wenu na imani kamilifu mpaka pale 
atakapompendelea ndugu yake kile anachokipenda 
yeye 3 } 

{Wenye huruma uhurumiwa na Mungu mwenye 
wingi wa huruma. Wahurumieni walio ardhini 
mtahurumiwa na alie mbinguni 4 (yaani Mungu)} 
{Kumtabasamia ndugu yako ni sadaka... 5 } 
{Neno zuri ni sadaka 6 } 

{Mwenye kumuamini Mungu na Siku ya Kiyama 
basi amtendee wema Jirani yake 7 } 
{Mwenyezi Mungu haangalii Midi yenu wala Sura 
zenu lakini anaangalia Mioyo yenu na Matendo 
yenu 1 } 



1 Saheeh Muslim,#2586, pia katika: Saheeh Al-Bukhari, #601 1. 

2 Mosnad Ahmad, #7354, pia katika: Al-Tirmizi, #1 162. 

3 Saheeh Al-Bukhari, #13 na katika Saheeh Muslim, #45 

4 Al-Tirmizi, #1924 na katika: Abu-Dawood, #4941. 

5 Al-Tirmizi, #1956. 

6 Saheeh Muslim, #1009, na katika: Saheeh Al-Bukhari, #2989. 

7 Saheeh Muslim, #48 na katika: Saheeh Al-Bukhari, #6019. 



■ {Mlipe Mfanyakazi ujira wake kabla jasho lake 
halija kauka} 2 

■ {Kulikuwa na mtu anatembea njiani akashikwa na 
kiu kali sana. Akakipata kisima, akaingia katika 
kisima hicho na akanywa kiasi cha kumtosha kisha 
akatoka. Ghafla akamuona mbwa anahaha huku 
katoa ulimi nje kwa kiu kali iliyompata mpaka 
anakula matope, yule mtu akasema: "Mbwa huyu 
ameshikwa na kiu kali kama ile iliyonishika mimi. 
"Hivyo basi akaingia tena kisimani akajaza maji 
katika kiatu chake kisha akamnywesha yule mbwa, 
Mwenyezi Mungu akampa yule mtu ahsante yake 
(malipo mema) na akamsamehe dhambi zake. 
Mtume aliulizwa: "Ewe Mtume wa Mungu, hivi sisi 
tunapata malipo kwa kuwafanyia wema wanyama? 

Mtume a» akajibu: "Kuna malipo kwa kila jema 
mnalowatendea wanyama hai au binadamu} 3 . 

Uislamu unasema nini kuhusu 
siku ya Kiyama? 

Kama walivyo Wakristo, Waislamu wanaamini kuwa haya 
maisha ya duniani ni maandilizi na majaribio tu kwa maisha ya 
baadae. Maisha haya ya kidunia ni mtihani kwa kila mtu kwa ajili ya 
maisha ya baada ya kifo. Siku ikifika ulimwengu wote utaangamizwa 
na wafu watafufuliwa ili wakahukumiwe mbele ya Mungu. Siku hiyo 
itakuwa ndio mwanzo wa maisha yasiyo na mwisho. Siku hiyo ni 
Siku ya Hukumu. Katika siku hiyo watu wote watalipwa na Mungu 
kulingana na itikadi zao na matendo yao. Wale waliokufa wakiwa na 



1 Saheeh Muslim, #2564. 

2 Ibn Majah, #2443. 

3 Saheeh Muslim, #2244. na katika: Saheeh Al-Bukhari, #2466. 



Wa Kuufahamu 







Kutumia Vielelez 


o \ ya P.cha 



imani ya kuwa "Hakuna Mola wa kweli ila Mwenyezi Mungu, na 
kuwa Muhammad ni Mtume wa Mungu." na ni Waisilamu, 
watalipwa katika siku hiyo na wataingizwa Peponi na kuishi humo 
milele, Kama Mwenyezi Mungu alivyosema: 

{Na wale walio amini na wakatenda mema, 
hao ndio watu wa Peponi, humo watadumu^ 
Qur'an, 2:82 

Ama wale ambao walifariki dunia wakiwa hawaamini kuwa 
"Hakuna Mola apasaye kuabudiwa kwa haki ila Mwenyezi Mungu 
na kuwa Muhammad ni Mtume wa Mungu" au hawakuwa 
Waisliamu, wataikosa Pepo milele na wataingizwa Motoni (kuzimu). 
Kama Mwnyezi Mungu alivyosema: 

{Na anaye tafuta dini isiyo kuwa Uislamuu 
haitakubaliwa kwake. Naye Akhera atakuwa 
katika wenye kukhasiri) Qur'an,3:85 

Na kama alivyosema: 



{Hakika wale walio kufuru, na wakafa hali 
ni makafiri haitakubaliwa kutoka kwa 
yeyote wao fidia ya dhahabu ya kujaza 
dunia nzima lau wangeli itoa. Hao watapata 
adhabu chungu, wala hawatakuwa na wa 
kuwanusuru) Qur'an, 3:91 



Mtu anaweza kuuliza,"Naona Uislamu ni dini nzuri, Lakini 
kama nitasilimu, familia yangu, marafiki zangu na jamaa wengine 
watanisumbua na watanibeza. Je kama sitosilimu nitaingia Peponi na 
kuepuka Motoni? 



Jibu ni kile alichokisema Mungu katika aya iliyotangulia: 
{Na anaye tafuta dini isiyo kuwa Uislamuu haitakubaliwa 
kwake. Naye Akhera atakuwa katika wenye kukhasiri kupata 
hasara) Qur'an,3:85 



Baada ya kumleta Mtume Muhammad 3® kuja kuwalingania 
(kuwaita) watu kuingia Uislamu, Mwenyezi Mungu hakubali ufuasi 
wa dini yeyote kinyume na Uislamu. Mwenyezi Mungu ni Muumba 
wetu na Mpaji wetu. Ametuumbia kila kitu duniani. Baraka zote na 
vitu vizuri vyote tupatavyo vinatoka kwake. Halafu baada ya mambo 
yote hayo, mtu anakataa kumuamini Mwenyezi Mungu, na Mtume 



Muhammad a», au Dini yake ya Uislamu, ni haki kwa mtu huyo 
kuadhibiwa katika siku ya Kiyama. Kwa kweli, lengo kuu la 
kuumbwa kwetu ni kumuabudu Mwenyezi Mungu Pekee na kumtii, 
kama Mwenyezi Mungu alivyosema katika Qur'an tukufu, (51:56) 

{Nami sikuwaumba majini na watu ila 
waniabudu Mimi} Qur'an, 51:56 

Maisha tunayoishi sasa ni mafupi mno. Makafiri, wakiwa 
katika Siku ya Kiyama watadhani kuwa maisha waliyoishi duniani 
yalikuwa ni siku moja tu au sehemu ya siku. Kama alivyosema 
Mwenyezi Mungu: 

{Atasema: Mlikaa muda gani katika ardhi 
kwa hisabu ya miaka? Watasema: Tulikaa 
siku moja au sehemu ya siku. Basi waulize 
wanao weka hisabu.) Qur'an, 23:112-113 

Na Mwenyezi Mungu amesema: 

0e! Mlidhani ya kwamba tulikuumbeni 
bure na ya kwamba nyinyi kwetu 
hamtarudishwa? Ametukuka Mwenyezi 



Wa Kuufahamu 







Kutumia Vielelez 


o \ ya P.cha 



Mungu, Mfalme wa Haki, hapana mungu 
ila Yeye, Mola Mlezi wa A'rshi Tukufu.) 
Qur'an, 23:115-116 

Maisha ya Ahera ni maisha ya kweli. Nayo sio maisha ya 
kiroho tu lakini ni maisha ya kimwili pia. Tutaishi huko tukiwa na 
roho zetu na miili yetu. Akilinganisha dunia na Akhera, Muhammad 



v& amesema: {Thamani ya maisha ya dunia ukilinganisha na 
maisha ya Akhera ni sawa na maji utayoyapata ukiingiza kidole 
katika bahari kuteka maji.} 1 Hiyo ndio thamani ya maisha ya dunia 
ukilinganisha na maisha ya Akhera nayo ni sawa na matone ya maji 
kidogo ukiyalinganisha na bahari. 

Vipi Mtu atakuwa Muislamu? 

Ni rahisi aseme kwa uhakika, "La ilaha ilia Allah, 
Muhammadur rasoolu Allah ", Hapo atakuwa amesilimu na amekuwa 
Muislamu. Maneno haya yanamaanisha kuwa: "Hapana Mola 
apasaye kuabudiwa kwa haki ila Mungu (Allah) na Muhammad ni 
Mtume wa Mungu. "Kifungu cha kwanza, "Hapana Mola apasaye 
kuabudiwa kwa haki ila Mungu" kinamaanisha kuwa hakuna 
mwenye haki ya kuabudiwa kinyume na Mungu pekee, na kuwa 
Mungu hana mshirika wala Mwana. Hi kuwa Muislamu vile vile 
unatakiwa: 

■ Kuamini kuwa Qur'an tukufu ni maneno halisi ya 
Mwenyezi Mungu, yaliyoshushwa na Mungu. 

■ Kuamini kuwa Siku ya Kiyama (Siku ya kufufuliwa) ni 
kweli kuwa ipo na itafika, kama alivyoahidi Mwenyezi 
Mungu katika Qur'an. 

■ Kukiri kuwa Uislamu ndio dini yake. 

■ Usiabudu chochote wala yeyote ispokuwa Mwenyezi 
Mungu. 



Seheeh Muslim, #2858, na Mosnad Ahmad, #17560. 



Mtume Muhammad «1 amesema: {Mwenyezi Mungu huwa 
na furaha sana pale Mja wake anapotubu kwake kuliko furaha 
ya mmoja wenu kama angekuwa akimuendesha ngamia wake 
katika Msitu kisha ghafla Ngamia huyo akamtoroka, huku 
ngamia huyo akiwa na Maji na Chakula cha mtu huyo, kwa hiyo 
akakata tamaa ya kumpata tena. Huyo mtu akaenda katika Mti 
na akajilaza chini ya kivuli cha mti huo (akisubiri kifo), kwa kule 
kupoteza matumaini yote ya kumpata tena ngamia wake. Akiwa 
katika hali hiyo (ngumu) ghafla akamuona yule ngamia 
amesimama mbele yake! Kwa hiyo akashika hatamu zake na 
akalia kwa furaha, kisha akasema: {Ewe Mola Wewe ni Mja 
wangu na Mimi ni Mola wako" makosa ya matamshi yake 
yametokana na Furaha yake iliyokuwa kubwa,} 1 

Maneno "Hapana Mola apasaye 
kuabudiwa kwa haki ila Mwenyezi 
Mungu na Muhammad ni Mtume 
wa Mungu". yalioandikwa juu ya 
lango. 




" h 

1 



Qur'an Inahusika na nini? 



Qur'an ni Maneno ya mwisho kuteremshwa na Mwenyezi 
Mungu, nayo ni msingi wa 
kutegemewa wa imani na matendo ya 
kila Muislamu. Qur'an inazungumzia 
kadhia zote zinazowahusu wanadamu: 
hekima, itakadi, kuabudu, mapatano ya 
kibiashara, sheria, n.k., lakini Maudhui 




Saheeh Muslim, #2747, na Saheeh Al-Bukhari, #6309. 



Wa Kuufahamu 







Kutumia Vielelez 


o V ya P.cha 



yake kuu ni uhusiano kati ya Mungu na viumbe vyake. Wakati 
huohuo, inatoa muongozo na mafundisho kamili ya jamii yenye 
uadilifu, maadili ya kiungwana yanayofaa, na mfumo wa uchumi 
wenye usawa. 



Zingatia kwamba Qur'an imefunuliwa kwa Muhammad $» kwa 
lugha ya kiarabu tu. Kwa hiyo tafsiri yoyote ile, iwe ya kingereza au 
lugha yoyote ile, sio Qur'an wala si toleo la Qur'an, lakini hiyo ni 
tafsiri tu ya maana ya Qur'an. Qur'an asilia ni ya kiarabu, lugha 
iliyoteremshiwa. 

Mtume Muhammad $i Ni nani? 



Muhammad «I kazaliwa Makka mwaka 570 AD. Tangu 
kufariki kwa baba yake ikiwa ni kabla ya kuzaliwa kwake na mama 
yake naye alifariki muda mfupi tu baadaye, akalelewa na baba yake 
mdogo ambaye ametokea katika kabila tukufu la Quraysh. Mtume 
alilelewa akiwa hajui kusoma wala kuandika na akaendelea hivyo 
hivyo mpaka kifo chake. Watu wake, kabla ya kupewa kazi yake ya 
utume, walikuwa wajinga hawajui sayansi istoshe wengi wao 
walikuwa hawajui kusoma wala kuandika. Alipokuwa mkubwa 
akawa anafahamika kuwa ni muaminifu, mwema, mtegemewa, 
mkarimu, na ni mwenye moyo safi. Alikuwa ni mtu wa kutegemewa 



sana kiasi ambacho wakamuita Mkweli, Muaminifu. Muhammad a® 
alikuwa ni mtu wa dini sana na alikuwa anachukia mno 
mmomonyoko wa maadili na ibada za masanamu zinazofanywa na 
jamii yake. 



Muhammad S» alipofikia umri wa miaka arobaini, alipokea 
ufunuo wake wa kwanza kutoka kwa Mwenyezi Mungu kupitia 
Malaika Jibrili. Ufunuo uliendelea kwa kipindi cha miaka ishirini na 
tatu, na huo ufunuo kwa makubaliano (ijimai) ya umma wote wa 
kiisilamu unajulikana kwa jina la Qur'an. 



1 










Muongozo Wa Kuufahami 


i Uislamu Kwa I 


Jfupi Na Kwa 


Kutumia Vielelezo Vya Picha 








Msikiti wa Mtume Muhammad $%> uliopo Maddinah. 



Mara tu alipoanza kuikariri Qur'an na kuhubiri ukweli 
aliofunuliwa na Mungu, yeye na kikundi kidogo cha wafuasi wake 
waliudhiwa kwa mateso na makafiri. Maudhi yakawa makali sana 
kiasi ambacho mnamo mwaka 622 AD. Mungu akawapa idhini ya 
kuhama. Uhamiaji huo wa kutoka Maka kwenda mji wa Madina, 
kiasi cha maili 260 kuelekea kaskazini ndio unaounda alama ya 
kuanza kwa kalenda ya kiislamu. 

Baada ya miaka kadhaa, Muhammad ^ na wafuasi wake 
waliweza kurudi Makka, ambapo waliwasamehe maadui zao. Kabla 



ya kufariki Mtume Muhammad ssi akiwa na umri wa miaka sitini na 
tatu, sehemu kubwa ya bara Arabu ilikuwa ni ya kiislamu, na ndani 
ya karne moja tangu afariki, Uislamu ulisambaa hadi kufikia 
Hispania kwa upande wa magharibi na mpaka kufikia mashariki ya 
mbali nchini China. Miongoni mwa sababu kuu zilizopelekea 
kusambaa haraka na kwa amani kwa Uislamu ilikuwa ni ukweli na 
uwazi wa itakadi yake. Uislamu unawalingania watu waje katika 
imani ya kuabudu Mungu mmoja tu, ambaye ni mmoja tu peke yake 
anayestahiki kuabudiwa. 



Wa Kuufahamu 







Kutumia Vielelez 


o \ ya P.cha 



Mtume Muhammad ss§ alikuwa ni mfano uliokamilika wa 
wema, udilifu, huruma, upole, uaminifu, na ushujaa. Ingawa alikuwa 
ni binadamu, aliepushwa na tabia mbaya zote na alijizatiti 
kikakamavu kwa ajili ya Mwenyezi Mungu na thawabu zake za 
kesho Akhera. Zaidi ya hayo, katika matendo yake yote na shughuli 
zake zote, alikuwa ni mzingatiaji na ni mcha Mungu. 

Tafadhali tembelea: www.islam-guide.com/muhammad Kwa 
Maelezo zaidi kuhusu Mtume Muhammad (S.A.W.) 



Kusambaa kwa Uislamu Kumeleta 
Athari gani katika Maendeleo ya kisayansi? 





Uislamu unamfunza mtu atumie 
nguvu ya akili yake na uchunguzi. Katika 
kipindi cha miaka michache tu ya 
kusambaa kwa Uislamu, ustaarabu 
mkubwa na vyuo vikuu vilistawi. 
Muungano wa fikra za kimashariki na 
kimagharibi, na fikra mpya pamoja na za zamani zileleta 
maendeleo makubwa katika tiba, hisabati, fizikia, 
unajimu, Jiografia, ujenzi, sanaa, fasihi, na historia. ^^ 
Mifumo mingi ya maana sana, kama vile algebra, Jfe^i- 
namba za kiarabu, na dhana ya matumizi ya sifuri 
(uhai wa wa maendeleo ya hisabati), ulipelekwa 
Ulaya ya zama za kati kutoka katika ulimwengu 
wa kiisilamu.Vyombo vya kisasa ambavyo 
vilirahisisha uwezekano wa 
misafara ya ugunduzi ya watu Astrolabe: ni moja kati ya vyombo vya 
tt, kisayansi vya muhimu sana kilichoendelezwa 

y ' na Waislamu na ni chombo ambacho kilitumiwa 

sana katika nchi za Magharibi mpaka zama za 

kisasa. 



flfesK 




Muongozo Wa Kuufahamu Uislamu Kwa Ufupi Na Kwa Kutum 


ia Vielelezo Jj^ 


a Picha 1 


J^^^**^ ^^^^H ^^^^^^^^^^^^^BH^^I 


^^H 


^^^ 



kama vile chombo cha (astrolabe) kitumikacho kupimia anga n.k., 
kipima pembe, na ramani nzuri za matumizi ya baharini, vile vile 
ziliendelezwa 
waisilamu. 



na 



'J^jtaJl^Aj-^ii^j 










t™ 



j V ^ oL^-^'W^ ^^J-* 1 ' 



Js *> fegjiij^ &N— * 








Wanafizikia wa Kiislamu walitoa kipaumbele kwa mambo ya upasuaji na wakaviendeleza 
vifaa vingi vya upasuaji kama inavyoonekana katika mchoro huu wa kale. 



Waislamu Wanaamini nini juu ya Yesu? 

Waislamu wanamheshimu na kumstahi sana Yesu (Rehema 
na amani ziwe juu yake). Wanamzingatia kuwa ni mmoja wa Mitume 
mikuu ya Mungu aliyetumwa kuwaongoza watu. Qur'an inathibitisha 
uzawa wake wa kibikira, na kuna sura ya Qur'an iitwayo 'Mary am' 
(Maria). Qur'an imeelezea uzazi wa Yesu kama ifuatavyo: 







■ 


M U C„ g O ZC 


^^a Kuufahamu Uislamu Kwa Ufupi Na Kwa Kutumia Vielelezo^ 


^ 



{Na pale Malaika walipo sema: Ewe 
Maryamu! Hakika Mwenyezi Mungu 
anakubashiria (mwana) kwa neno litokalo 
kwake. Jina lake ni Masihi Isa mwana wa 
Maryamu, mwenye hishima katika dunia 
na Akhera, na miongoni mwa walio 
karibishwa (kwa Mwenyezi Mungu.) Naye 
atazungumza na watu katika utoto wake 
na katika utuuzima wake, na atakuwa 
katika watu wema. Maryamu akasema: 
Mola wangu Mlezi! Vipi nitampata mwana 
na hali hajanigusa mwanaadamu? 
Mwenyezi Mungu akasema: Ndivyo vivyo 
hivyo, Mwenyezi Mungu huumba 
apendacho. Anapo hukumu jambo, 
huliambia: Kuwa! Likawa.) Qur'an, 3:45- 
47 

Yesu alizaliwa kimiujiza kwa amri ya Mungu ambaye 
amemuumba Adam bila baba, Mwenyezi Mungu amesema: 

{Hakika mfano wa Isa kwa Mwenyezi 
Mungu ni kama mfano wa Adam; 
alimuumba kwa udongo kisha 
akamwambia: Kuwa! Basi akawa) 
Qur'an, 3:59 

Katika kipindi cha kazi yake ya utume, Yesu alifanya miujiza 
mingi. Mungu anatueleza kuwa Yesu alisema: 



v..Mimi nimekujieni na Ishara kutoka 
kwa Mola Mlezi wenu, ya kwamba 
nakuundieni kwa udongo kama sura ya 
ndege. Kisha nampuliza anakuwa ndege 
kwa idhini ya Mwenyezi Mungu. Na 



ninawaponesha vipofu wa tangu kuzaliwa 
na wakoma, na ninawafufua maiti kwa 
idhini ya Mwenyezi Mungu, na 
ninakwambieni mnacho kila na mnacho 
weka akiba katika nyumba zenu...) 
Qur'an, 3:49 

Waislamu wanaamini kuwa Yesu hakusulubiwa. Ispokuwa 
ilikuwa ni njama za maadui zake ya kutaka kumsulubu, lakini 
Mwenyezi Mungu alimuokoa na kumpaisha akampeleka kwakwe 
juu. Na umbo linalofana na Yesu liliwekwa kwa mtu mwingine. 
Maadui wa Yesu wakamchukua mtu huyo na wakamsulubu 
wakidhani kuwa huyo ndiye Yesu. Mwenyezi Mungu amesema: 

{Na kwa kusema kwao: Sisi tumemuuwa 
Masihi Isa, mwana wa Maryamu, Mtume 
wa Mwenyezi Mungu - nao hawakumuuwa 
wala hawakumsalibu, bali walifananishiwa 
tu. Na hakika walio khitalifiana katika 
haya wamo katika shaka nayo. Wao 
hawana ujuzi nayo wowote, ila ni kufuata 
dhana tu. Wala hawakumuuwa kwa 
yakini.) Qur'an, 4:157 



Si Muhammad 3» wala Yesu aliyekuja ili kubadilisha misingi 
ya imani ya kuamini Mungu mmoja, iliyoletwa na mitume 
iliyotangulia, lakini kinyume chake wamekuja kuithibitisha na 
kuitengeneza imani hiyo. 



Waislamu wanaamini kuwa Mwenyezi Mungu aliteremsha Injili kwa Nabii Isa 
(Yesu) ambayo mpaka sasa inapatikana katika baadhi ya kitabu cha Biblia agano 
jipya, lakini hii haina maana kuwa Waislamu wanaamini Injili hii ya agano jipya , 
kwasababu haipo kama Mwenyezi Mungu alivyoishusha kwa Nabii Isa, hii 
inatokana na Mabadiliko kadhaa yaliyofanywa juu ya kitabu hicho ya kuondolewa 
baadhi ya Sura na kuchomekwa Sura nyengine. Kulingana na taarifa iliyotolewa na 



Muong 


fl^^wa Kuufahamu Uislamu Kwa Ufupi f 


«Ia Kwa Kutum 


a VielelezoJ 


m 




Msikiti wa Aqsa Jerusalem. 



(Tafadhali tembelea: www.islam-guide.com/jesus 
zaidi kuhusu Yesu katika Uislamu. 



Kwa Maelezo 



tume ya kitabu kitukufu cha Biblia, tume ambayo iliundwa na Wasomi 32 ambao 
ni wanaumoja wenye kuitumikia tume hiyo, wakiwa chini ya wajumbe 50 wenye 
kuhusika na maswala ya dini hiyo, baada ya kufanya Uchunguzi tume ya Wasomi 
hao ilisema kuwa katika UTANGULIZI wa kitabu kitukufu cha Biblia (Holy Bible- 
standard Version) ukurasa, iv kuna aya zimeondolewa: "hakika Nakala za Injili 
zimebadilishwa sana na hakuna hata Nakala moja iliyokuwa Salama, hivyo basi ni 
bora tutumie Nakala itakayotolewa na tume hii ya uchunguzi kwani itakuwa ndio 
Nakala iliyo karibu sana na Usalama na yenye kukaribiana sana na Nakala ya 
Asili" vilevile wakaweka alama za footnote kuonyesha Mabadiliko hayo 
yaliyofanywa katika (Mt 9.34; Mk 3.16; 7.4; Lk 24.32,51, etc). Kwa maelezo zaidi 
www.islam-guide.com/bible 





ngozo Wa Kuufahamu Uislamu Kwa Ufupi Na Kwa 


Kutumia Vielelezo Vyii . icna 



Uislamu Unasemaje kuhusu Ugaidi? 

Uislamu, ni dini ya huruma, hairuhusu ugaidi. Mwenyezi 
Mungu amesema katika Qur'an: 

{Mwenyezi Mungu hakukatazini 

kuwafanyia wema na uadilifu wale ambao 
hawakukupigeni vita, wala hawakukutoeni 
makwenu. Hakika Mwenyezi Mungu 
huwapenda wafanyao uadilifu.) Qur'an, 
60:8 

Mtume Muhammad Ǥ aliwakataza wanajeshi wasiwauwe 
wanawake na watoto, 1 na aliwahusia: {msifanye usaliti, msiue kwa 
fujo, msiue watoto wachanga.} Vile vile amesema: {Yeyote 
atakayeua mtu mwenye mkataba wa amani na waisilamu hato 
nusa harufu ya Pepo, ingawa harufu ya Pepo inapatikani umbali 
wa miaka arobaini.} 2 



Vilevile Mtume Muhammad amekataza adhabu ya kutumia 



moto. 



Mtume sss ameorodhesha kuuwa kuwa ni dhambi kubwa ya 
pili, 4 na ameonya kuwa katika siku ya Kiyama, {Kesi za mwanzo 
kuhukumiwa baina ya wanadamu zitakuwa kesi za umwagaji 
claniu.} 

Waisilamu wanahimizwa wawatendee wema wanyama, na ni 
haramu kuwatesa. Wakati moja Mtume Muhammad ssl amesema: 



1 Kitabu: Saheeh Muslim, #1744, pia katika Saheeh Al-Bukhari, #3015. 

2 Saheeh Muslim, #3166, pia angalia Ibn Majah, #2686. 

3 Abu-Dawood, #2675. na Saheeh Muslim, #88. 

4 Saheeh Al-Bukhari, #6871, 



Wa Kuufahamu 







Kutumia Vielelez 


o \ ya P.cha 



{Mwanamke mmoja aliadhibiwa kwa sababu alimfungia ndani 
paka mpaka akafa. Katika tukio hilo, mwanamke huyo 
aliingizwa motoni. Kwa vile alimfungia paka huyo, bila ya 
kumpa chakula wala maji, wala hakumuacha huru ajiliie 
wadudu.} 1 

Vilevile amesema kuwa mtu mmoja alimpa maji mbwa 
mwenye kiu kali, kwa hiyo Mungu alimsamehe dhambi zake kwa 



tendo hilo. Mtume ^ aliulizwa: "Ewe Mtume wa Mungu, hivi sisi 
tunapata malipo kwa kuwafanyia wema wanyama?" Mtume 
akasema: {Kuna malipo ya kila jema mnalowatendea wanyama 
hai au binadamu.} 

Kwa kuongezea, wakati wa kumchinja mnyama ili aliwe, 
Waisilamu wameamrishwa wamchinje kwa njia itakayompunguzia 



hofu na maumivu mnyama huyo. Mtume Muhammad £» amesema: 
{Utakapo mchinja myama, basi fanya hivyo kwa njia nzuri. Mtu 
anatakiwa anoe kisu chake ili ampunguzie mateso huyo mnyama. } 

Kwa kuweka wazi maelezo hayo na maandiko mengine ya 
kiisilamu, tendo la kutia hofu katika mioyo ya raia wasio na ulinzi 
wowote ule, uharibifu mkamilifu wa majengo na vitu, kulipua 
mabomu, na kuwatia vilema wanaume, wanawake, na watoto wasio 
na hatia mambo yote hayo yamekatazwa na ni matendo 
yanayochukiwa sana na Uislamu na Waisilamu. Waisilamu 
wanafuata dini ya amani, huruma, na kusameheyana, na waisilamu 
walio wengi hawahusiki kwa lolote katika matukio ya utumiaji 
nguvu ambayo baadhi yake yanahusika na waisilamu. Kama 
muislamu yeye mwenyewe binafsi akifanya tendo la kigaidi, mtu 
huyo atakuwa na hatia ya kuvunja sheria za kiisilamu. 



1 Saheeh Muslim, #2422, pia katika: Saheeh Al-Bukhari, #2365. 
2 Saheeh Muslim, #1955, na Al-tirmizi #1409. 



Haki za Binadam na Uadilifu katika Uislamu 

Uislamu unatoa haki nyingi za binadamu kwa kila mtu. 
Zifuatazo ni baadhi ya haki za binadamu zinazolindwa na Uislamu. 

Maisha na mali ya kila raia vinazingatiwa kuwa ni vitu 
vitakatifu katika dola ya Kiisilamu, sawa mtu huyo awe ni Muislamu 
au la. Vilevile Uislamu unachunga heshima ya mtu. Kwa hivyo 
katika Uislamu, kuwatukana watu wengine au kuwakebehi 

hairuhusiwi. Mtume Muhammad $» amesema: {Hakika damu zenu, 
mali zenu, na heshima zenu vitu hivyo ni vitu vinavyolindwa.} 1 

Ukabila hauruhusiwi katika Uislamu, kwani Qur'an inaelezea 
usawa wa binadamu katika istilahi zifuatazo: 

{Enyi watu! Hakika Sisi tumekuumbeni 
kutokana na mwanamume na mwanamke. 
Na tumekujaalieni kuwa ni mataifa na 
makabila ili mjuane. Hakika aliye 
mtukufu zaidi kati yenu kwa Mwenyezi 
Mungu ni huyo aliye mchamngu zaidi 
katika nyinyi. Hakika Mwenyezi Mungu ni 
Mwenye kujua, Mwenye khabari) 
Qur'an, 49:13 

Uislamu unapinga kufanyiwa wema mtu au taifa kwa misingi 
ya utajiri wake, nguvu au ukabila. Mwenyezi Mungu amewaumba 
wanadamu wakiwa sawa na kuwa kitu pekee kinachowafanya watu 
wawe wabora ni misingi ya kiimani imani na uchaji Mungu wao. 

Mtume Muhammad ^ amesema: {Enyi watu! Mungu wenu ni 



1 Kitabu: Saheeh Al-Bukhar, #1739, na katika: Mosnad Ahmad, #2037. katika 
hadithi hii Mtume anamaanisha kuwa Uislamu una haramisha Mauaji na Umwagaji 
Damu, pia una haramisha Wizi, Unyang'anyaji Uporaji na Udhalimu. 



Wa Kuufahamu 







Kutumia Vielelez 


o \ ya P.cha 



mmoja na baba yenu (Adam) ni mmoja. Hakuna ubora kwa 
Mwarabu kuliko asiyekuwa Mwarabu, na hakuna ubora kwa 
asiyekuwa Mwarabu kuliko Mwarabu, hakuna ubora kwa 
Mwekundu (Mtu Mweupe aliechanganyika na wekundu) kuliko 
Mweusi na hakuna ubora kwa Mweusi kuliko Mwekundu, 1 
ispokuwa kwa ucha Mungu.} 

Moja ya kero kubwa inayowakabili watu kwa sasa ni ukabila. 
Ulimwengu ulioendelea unaweza kumpeleka 
mtu hadi mwezini lakini hauwezi kumzuia 
mtu asimchukie na kumpiga vita binadamu 
mwenzake. Tangu enzi za Mtume 

Muhammad ®S Uislamu umeshatoa 
mfano uliowazi wa namna ya kumaliza 
ukabila. Safari ya kila mwaka ya kuhiji 
Maka inaonyesha udugu wa hakika wa 
kiisilamu wa makabila na mataifa yote, pale 
ambapo kiasi cha Waisilamu milioni mbili 
kutoka sehemu zote duniani wanakwenda Maka kuhiji. 

Uislamu ni dini ya uadilifu. Mungu amesema: 

{Hakika Mwenyezi Mungu 

anakuamrisheni mzirudishe amana kwa 
wenyewe. Na mnapo hukumu baina ya 
watu mhukumu kwa uadilifu...) Qur'an, 
4:58 

Na amesema: 




Rangi zilizotajwa katika maneno haya ya mtume ni za mifano tu. Maana yake ni 
kuwa katika usilamu hakuna alie bora kuliko mwengine kwa sababu ya rangi yake, 
sawa awe mweupe, mweusi, mwekundu, au rangi yoyote ile. 
2 Mosnad Ahmad, #2278. 





mgozo Wa Kuufahamu Uislamu Kwa Ufupi Na Kwa 


Kutumia Vielelezo Vyii . icna 



{...Na hukumuni kwa haki. Hakika 
Mwenyezi Mungu anawapenda wanao 
hukumu kwa haki) Qur'an, 49:9 

Tunatakiwa tuwe waadilifu hata kwa wale tunaowachukia, 
kama Mungu alivyosema: 

{Enyi mlio amini! Kuweni wasimamizi 
madhubuti kwa ajili ya Mwenyezi Mungu 
mkitoa ushahidi kwa haki. Wala 
kuchukiana na watu kusikupelekeeni 
kutofanya uadilifu. Fanyeni uadilifu. 
Hivyo ndio kuwa karibu mno na 
uchamngu...) Qur'an, 5:8 



Mtume Muhammad s» amesema: {Enyi watu, jihadharini 
na dhulma kwani dhuluma itakuwa ni giza katika Siku ya 
Kiyama.} 1 

Na wale wasiopata haki zao (wale wenye madai ya haki) 
katika maisha haya ya dunuia, basi watapata haki zao Siku ya 

Kiyama, kama alivyosema Mtume ss»: {Hakika mtazirudisha haki 
kwa wenyewe Siku ya Kiyama (na maovu yatalipiwa fidia)...} 



Mosnad Ahmad, #5798, pia angalia, Saheeh Al-Bukhari, #2447. 
Saheeh Muslim, #2582, na katika: Mosnad Ahmad, #7163. 



Wa Kuufahamu 







Kutumia Vielelez 


o \ ya P.cha 




Mwanamke ana Nafasi gani katika Dini ya 

Kiislamu? 

Uislamu unamtazama mwanamke, sawa awe mwanamwali au 
mke, kuwa ni mtu mwenye haki zake binafsi, akiwa na haki ya 
kumiliki na kutumia miliki na pato lake bila 
kusimamiwa na mtu yeyote (awe baba 
yake, mumewe, au mtu mwengine 
yeyote). Ana haki ya kununua na 
kuuza, kutoa zawadi na sadaka, na 
anaweza kutumia pesa zake 
apendavyo. Mahari inayotolewa na 
bwana harusi na kupewa bibi harusi ni 
kwa ajili ya matumizi binafsi ya bibi harusi, na 
mwanamke ana haki ya kuendelea kutumia jina la ukoo wake na 
hatumii jina la mumewe. 

Uislamu unamhamasisha kila mume kumtendea wema 

mkewe, kama alivyosema Mtume Muhammad a»: {Wabora wenu ni 
wale walio bora zaidi katika kuwatendea wema wake zao} 1 

Wakinamama wana heshima kubwa katika Uislamu. Uislamu 
unahusia watu kuwatendea wema wakinamama. Mtu mmoja 

alimwendea Mtume Muhammad a® na akasema: "Ewe Mtume 
wa Mwenyezi Mungu! ni nani mwenye haki sana kwangu niwe 

nae karibu zaidi?" Mtume ^ akasema: {Mama yako.} Yule mtu 

akasema: "kisha nani?" Mtume * akasema: {Kisha Mama 

yako.} Yule mtu akauliza tena, "Kisha nani?" Mtume $i 



1 Ibn Majah, #1978, na katika: Al-Tirmizi, #3895. 



■ 




^^~~ 








Muons 


;ozo W 


'a Kuufahamu Uisl 


amu Kwa I 


Jfupi Na Kwa 


Kutumia Vielelezo Vya Picha 


i 





akasema: {Kisha Mama yako.} Yule mtu akauliza tena: "Kisha 
nani?" Mtume ^® akasema: {Kisha baba yako.} 

(Tafadhali tembelea: www.islam-guide.com/women kwa 
maelezo zaidi juu ya wanawake katika Uislamu.) 

Familia katika Uislamu 

Familia, ambayo ni kiungo kikuu cha maisha bora, kwa hivi 
sasa kimevunjika. Nidhamu ya familia katika Uislamu inaleta haki 
kwa mume, mke, watoto, na ndugu kwa usawa maridadi. Uislamu 
unastawisha kuacha tabia za ubinafsi, unaboresha kufanya ukarimu, 
na mapenzi kwa mfumo wa nidhamu ya familia yenye kushirikiana 
vizuri. Amani na ulinzi unaotolewa na kikundi cha familia imara 
unathaminiwa sana, na jambo hilo linachukuliwa kuwa ni msingi wa 
ukuaji wa kiroho wa wana familia. Nidhamu ya jamii ya kuridhisha 
inajengwa kwa kuwepo kwa familia kubwa na kwa kuwathamini 
watoto. 

Waislamu Wanawatendea vipi Wazee? 

Katika ulimwengu wa Kiislamu ni nadra kukuta "makazi ya 
wazee." Mkazo wa kuwalea wazazi wanapokuwa katika kipindi hiki 
kigumu katika maisha yao unazingatiwa ni fahari, baraka na ni nafasi 
ya kukomaa kiroho. Katika Uislamu, haitoshi tu kuwaombea dua 
wazazi wetu, lakini inatupasa kuwatendea kwa huruma isiyo na 
mpaka, huku tukiwa tunakumbuka kuwa wakati tulipokuwa watoto 
hatujiwezi, wawo walitupendelea kuliko walivyojipendelea nafsi zao. 
Wakina mama wana heshima za pekee. Wazazi wa Kiisilamu 



Saheeh Muslim,#2548 na Saheeh al-Bukhari, #5971. 



Wa Kuufahamu 







Kutumia Vielelez 


o \ ya P.cha 



wanapofikia umri wa utu uzima, wanatendewa kwa upole, pamoja na 
wema na kupewa kipaumbele. 

Katika Uislamu, mtu kuwahudumia wazazi wake ni wajibu 
wa pili baada ya sala, na ni haki yao kutarajia huduma hizo. Na 
inazingatiwa kuwa ni ufedhuli kutamka neno la kuudhi wakati, 
inapowawia vigumu kuwavumilia kwa kuwa si makosa yao, ila uzee 
umekuwa ni jambo zito. 

Mwenyezi Mungu amesema: 

{Na Mola wako Mlezi ameamrisha kuwa 
msimuabudu yeyote ila Yeye tu, na wazazi 
wawili muwatendee wema. Mmoja wao 
akifikia uzee, naye yuko kwako, au wote 
wawili, basi usimwambie hata: Ah! Wala 
usiwakemee. Na sema nao kwa msemo wa 
hishima. Na uwainamishie bawa la 
unyenyekevu kwa kuwaonea huruma. Na 
useme: Mola wangu Mlezi! Warehemu 
kama walivyo nilea utotoni.) Qur'an, 
17:23-24. 

Ni Zipi Nguzo Tano za Uislamu? 

Nguzo tano za Uislamu ni mfumo wa maisha ya Muislamu. 
Nazo ni Ushuhuda wa imani, Sala, kutoa Zaka, (msaada kwa wenye 
shida), kufunga mwezi wa Ramadhani, na kwenda kuhiji Makka 
mara moja kwa maisha yote kwa mwenye uwezo. 

1) Ushuhuda wa imani: 

Ushuhuda wa imani ni kusema kwa kusadikisha, "La ilaha 
ilia Allah, Muhammadur rasulu Allah " Maneno haya yana maana ya 
kuwa: "Hapana Mola apasaye kuabudiwa kwa Haki ila Mwenyezi 



^^^^^ 








Muongozo Wa Kuufaharai 


i Uislamu Kwa I 


Jfupi Na Kwa 


Kutumia Vielelezo Vya Picha 







Mungu (Allah) 1 , na Muhammad ni Mtume wa Mungu." Sehemu ya 
kwanza, "Hakuna Mola apasaye kuabudiwa kwa haki ila Mwenyezi 
Mungu," inamaanisha kuwa, hakuna kiumbe yeyote mwenye haki ya 
kuabudiwa ispokuwa Mwenyezi Mungu peke yake, na kuwa Mungu 
hana mshirika wala mwana. Huu ushuhuda wa imani unaitwa 
Shahada, ambayo ni njia nyepesi inatakiwa kutamkwa kwa 
kusadikisha ili ubadilike na kuingia Uislamu Ushuhuda wa imani ni 
nguzo ya Kiislamu iliyo muhimu sana. 

2) Sala: 

Waislamu wanasali Sala tano kwa siku. Kila Sala haichukui 
zaidi ya dakika chache kuitekeleza. Sala katika Uislamu ni 
kiunganishi cha moja kwa moja kati ya mwenye kusali na Mungu. 
Hakuna muunganishi kati ya Mungu na mwenye kuabudu. 

Katika sala, mtu anahisi furaha ya moyoni, amani, na raha, na 



kuwa Mwenyezi Mungu amemridhia. Mtume Muhammad 31 
amesema: {Ewe Bilali waite watu waje kusali, wacha tuburudike 
na sala. } Bilali alikuwa ni mmoja wa maswahaba wa Muhammad 

9® ambaye alipewa jukumu la kuwaita watu kwenda kusali. 

Sala husaliwa alfajiri, adhuhuri, alasiri, magharibi na ishaa. 
Muislamu anaweza kusali, takribani, popote pale, kwa mfano 
mashambani, maofisini, viwandani, au vyuoni. 

(Tafadhali tembelea: www.islam-guide.com/prayer kwa 
maelezo zaidi kuhusu sala katika Uislamu.)' 



1 Kwa maelezo zaidi kuhusiana na neno Allah tazama kifungu cha mwisho katika 
ukurasa wa 65 

2 Kitabu: Abu-Dawood, #4985, na katika Mosnad Ahmad, #2278. 

" Au rejea kitabu kiitwacho A guide to Prayer in Islam by M.A.K saqib. Kwa 
kujipatia nakala tafadhali tembelea mtandao uliotajwa hapo juu. 



Wa Kuufahamu 







Kutumia Vielelez 


o \ ya P.cha 



3) Kutoa Zaka (Msaada kwa Masikini, wenye 
shida): 

Kila kitu kinamilikiwa na Mungu, kwa hivyo utajiri 
unaomilikiwa na watu ni amana juu yao. Maana asilia za neno Zakat 
ni mbili 'utakaso' na 'kukua' kutoa zaka, 
maana yake ni 'kutoa asilimia maalum 
kutoka katika vitu maalumu kuyapa 
makundi maalumu ya watu wenye 
shida.' Asilimia zinazolazimika 

kutolewa kwa umiliki wa dhahabu, 
madini ya fedha, au pesa taslimu 
ambazo zimefikia kiasi cha gramu 85 za 
dhahabu na zimekuwa katika milki yake 
kwa mwaka mmoja wa miezi miandamo ni asilimia mbili na nusu ya 
mali hizo. Milki zetu zinatakaswa kwa kuzitengea fungu dogo la 
kuwapa wenyeshida, na tendo hilo ni sawa sawa na kuondosha 
matawi yaliochakaa ili kuacha mti ustawi vizuri, kwani kufanya 
hivyo ni kuupa balanzi mmea na kuupa nguvu mpya ya kukua. 




Vile vile, mtu anaweza kutoa zaidi kwa kadri anavyopenda 
hiyo ikiwa ni sadaka ya hiari au mchango wa kusaidia mambo ya 
kheri. 



4) Kufunga mwezi wa Ramadhani: 

Kila mwaka katika mwezi wa Ramadhani, 
Waislamu wanafunga kuanzia alfajiri mpaka 
kuzama kwa jua, wakijizuia na kula, kunywa, 
na mahusiano ya kingono. 




1 Mwezi Mtukufu wa Ramadhani ni Mwezi wa tisa wa Kalenda ya kiislamu 
(ambawo ni mwezi wa muandamo) 



■ 


' .-■ 




Muons 


p^TWa Kuufahamu Uislamu Kwa Ufupi Na Kwa 


Kutumia Vielelezo Vya . icna 



Ingawa funga ina faida kwa afya, pia kimsingi inazingatiwa kuwa ni 
utaratibu muhimu wa kujitakasa kiroho. Kwa kujizuia na raha za 
dunia, hata kwa muda mfupi, mfungaji anajipatia huruma ya kweli ya 
kuwaonea wale wenye njaa, vile vile anapevuka katika maisha yake 
ya kiroho. 



5) Kwenda kuhiji Makka: 

Hija ya kila mwaka kuelekea Maka ni lazima mara moja kwa 
umri wote kwa wale wenye uwezo wa kimwili na kiuchumi wa 
kutekeleza jambo hilo. Kiasi cha watu milioni mbili huenda Makka 
Mahujaji 



wakiwa 
wanaswali ndani ya Msikiti 
wa Haram (Msikiti Mtukufu 
wa Maka) katika Msikiti 
huu kunapatikana Kaaba ( 
jengo jeusi katika picha) 
ambayo Waislamu 

huelekea wanapokuwa 
wanaswali. Kaaba ni 
sehemu ya Ibada ambayo 
Mwenyezi Mungu 

alimuamrisha Nabii 

Ibrahim na mwanawe, 
Nabii Ismail, kuijenga. 










kila mwaka wakitokea kila pembe ya dunia. Ingawa siku zote Makka 
inajazwa na wageni, Hija ya kila mwaka hufanyika katika mwezi wa 
kumi na mbili wa kalenda ya Kiislamu. Mahujaji wa kiume huvaa 
nguo maalumu za hali ya chini zinazoondosha tofauti za kitabaka na 
kitamaduni kiasi ambacho watu wote wanasimama wakiwa ni sawa 
sawa mbele ya Mungu. 

Ibada za hija zinakusanya kuzunguka Kaaba mara saba na 
kutembea baina ya milima ya Safa na Marwa mara saba, kama 
alivyofanya Bibi Hajar alipokuwa anatafuta maji. Kisha mahujaji 
wanasimama pamoja katika Arafa na wanamuomba Mungu aw ape 



eneo lililo umbali wa maili 15 kotoka Maka. 



Wa Kuufahamu 







Kutumia Vielelez 


o \ ya P.cha 



kile wanachokitaka na wanamuomba msamaha, katika hali ambayo 
mara nyingi inadhaniwa kuwa ni onyesho la kwanza la Siku ya 
Kiyama. 

Mwisho wa hija unakamilishwa kwa Sikukuu ya Mfunguo 
Tatu, ambayo husheherehekewa kwa sala. Idi hii na Idi ya Mfunguo 
Mosi, sikukuu ya ukumbusho wa kuisha kwa Ramadhani, hizi ndizo 
sikukuu mbili za kila mwaka za kalenda ya Kiislamu. 



(Tafadhali tembelea: www.islam-guide.com/pillars 
maelezo zaidi kuhusu nguzo tano za Kiisilamu.) 



kwa 



Uislamu Nchini Marekani 

Ni vigumu kutoa kauli ya jumla kuhusu Waislamu wa 
Marekani. Wao ni watu waliosilimu, 
wahamiaji, wafanyakazi za viwandani, 
na madakitari. Jamii hii iliyo na hali 
mbalimbali inaunganishwa na imani 
moja, wakiimarishwa na mtandao wa 
taifa zima wa idadi kubwa ya misikiti. 
Waislamu walifika Amerika ya 
Kaskazini mapema. Katika kipindi cha 
karne ya kumi na nane, kulikuwa na Waisilamu wengi katika eneo la 
Amerika ya Kaskazini. 

Idadi kubwa ya Wamarekani wameingia katika zizi la dini ya 
Kiislamu. Watu hao ni wa kutoka tabaka mbalimbali: matajiri, 
masikini, wasomi, na watu wasio kuwa wasomi. Hivi leo kuna kiasi 
cha Waislamu milioni tano na nusu nchini Marekani. 1 




1 The World Almanac and book of facts cha mwaka mwaka 1996, Famigheti, 
ukurasa wa, 644. 



--•' 1 










Muongozo Wa Kuufaharai 


i Uislamu Kwa I 


Jfupi Na Kwa 


Kutumia Vielelezo Vya Picha 







Kwa Maelezo Zaidi Kuhusu Uislamu 

Kama utapenda kujua maelezo zaidi kuhusu 
Uislamu, au kama una swali lolote au mawazo 
yeyote, au kitabu hiki kwa lugha nyenginezo, 
tafadhali tembelea mtandao wa kitabu hiki: 




www.islam-guide.com 

Kwa kujipatia nakala ya kitabu hiki, tafadhali tembelea: 
www.islam-guide.com/copies 

Pia, unaweza kuwasiliana na moja ya taasisi zifuatazo: 
1) Marekani: 

Islamic Assembly of North America 

3588 Plymouth Road, Suite # 270, 

Ann Arbor, MI 48105, USA 

Tel.: (734) 528-0006 - Fax: (734) 528-0066 

E-mail: IAN A @ IANAnet.org 

Islamic Foundation of America 

PO Box: 3415, Merrifield, VA 221 16, USA 

Tel.: (703) 914-4982 - Fax: (703) 914-4984 

E-mail: info@ifa.ws 

Alharamain Islamic Foundation 

1257 Siskiyou Blvd., no. 212, 

Ashland, OR 97520, USA 

Tel: (541) 482-1116 - Fax: (541) 482-1117 

E-mail: haramain @ alharamain.org 

Islamic information institute of Dar-us-Salam 

5301 Edgewood Rd., College Park, MD 20740-4623, USA 

Tel.: (301) 982-9463 - Fax: (703) 982-9849 

E-mail: iii@islamworld.net 



Wa Kuufahamu 







Kutumia Vielelez 


o \ ya P.cha 



World Assembly of Muslim Youth 

PO Box: 8096, Falls Church, 

VA 22041-8096, USA 

Tel.: (703) 820-6656 - Fax: (703) 783-8409 

E-mail: support@wamyusa.org 

Al Jumuah Magazine 

POBox: 5387, Madison, 

WI 53705-5387, USA 

Tel: (608) 277-1855 - Fax: (608) 277-0323 

E-mail: info @ aljumuah.com 

Note: Tafadhali tembelea www.islam-guide.com/centers kwa 
kujipatia anuani za vituo vya kiisilamu vilvyo karibu yako. 

2) Canada: 

Islamic Information & Da'wah Center International 

1 168 Bloor Street West, Toronto, 

Ontario M6H INI, Canada 

Tel.: (416) 536-8433 - Fax: (416) 536-0417 

E-mail: comments @ islaminfo.com 

3) Uingereza (UK): 

Al-Muntada Al-Islami Centre 

7 Bridges Place, Parsons Green, London SW6 4HW, UK 

Tel.: 44 (0207) 736 9060 Fax: 44 (0207) 736 4255 

E-mail: muntada@ almuntada-alislami.org 



Jam'iat Ihyaa' Minhajaj Al-Sunnah 

PO Box: 24, Ipswich, Suffolk IP3 8ED, UK 

Tel. and Fax: 44 (01473) 251578 

E-mail: mail@jimas.org 



4) Saudi Arabia: 

Alharamain Islamic Foundation 

PO Box: 69606, Riyadh 11557, Saudi Arabia 

Tel: (966-1) 465-2210 - Fax: (966-1) 462-3306 

E-mail: haramain @ alharamain.org 

World Assembly of Muslim Youth 

PO Box: 10845, Riyadh 11443, Saudi Arabia 

Tel: (966-1) 464-1669 - Fax: (966-1) 464-1710 

E-mail: info@wamy.org 

Egypt: 
IslamicConveying Islamic Message Society 

PO Box: 834, Alex - Egypt 

E-mail: info en@islamic-message.net 

E-mail: cims eg@yahoo.com 

Site: www.islamic-message.net 



Kwa ushauri na maoni juu ya kitabu Hiki 



Ikiwa una mapendekezo yoyote au maoni juu ya kitabu hiki, 
tafadhali yatume kwa mtunzi, I. A. Ibrahim kupitia 
E-mail: ib@i-g.org Tel: (966-1) 454-1065 . Fax: (966-1) 453-6842 
P.O.Box 21679, Riyadh 11485, Saudi Arabia. 

Pia, ukitaka maelezo zaidi kuhusu Uislamu au kama ukitaka 
nakala za ziada za kitabu hiki unaweza kuwasiliana na mtunzi. 







■ 


M U C„ g O ZC 


^^a Kuufahamu Uislamu Kwa Ufupi Na Kwa Kutumia Vielelezo^ 


^ 



Kwa kijisomea zaidi kuhusu Uislamu 

The True Religion, by Bilal Philips. 

This is the truth, published by Alharamain Islamic Foundation. 
The Qurani and the Modern Science, by Dr. Maurice Bucaille, edited 
by Dr. A.A.B Philips. 

Towards Understanding Islam, by Abul A'la al-Mawdudi.(Ipo tafsiri 
yake inayoitwa (Misingi ya Uislamu) inauzwa madukani nchini 
Tanzania 

Life after death (pamphlet), by World Assembly of Muslim Youth. 
The Muslim 's Belief, by Muhammad Al-Uthaimin, translated by Dr. 
Maneh al-Johani. 

Interpritation of the Meaning of The Noble Qur'an in the English 
Language, by Dr. Muhammad al-Hilali and Dr. Muhammad Khan. 
Kwa kujipatia nakala ya kitabu chochote katika hivyo au kujipatia 
vijitabu, tafadhali tembelea www.islam-guide.com/books au 
wasiliana na moja ya taasisi zilizoorodheshwa katika ukurasa wa 70- 
71-72) 

Vitabu vya Marejeo 

Ahrens, C. Donald. 1988. Meteorology Today. 3rd ed. St. Paul: West 
Publishing Company. 

Anderson, Ralph K.; and others. 1978. The Use of Satellite Pictures 
in Weather Analysis and Forecasting. Geneva: Secretarial of the 
World Meteorological Organization. 

Anthes, Richard A.; John J. Cahir; Alistair B. Fraser; and Hans A. 
Panofsky. 1981. The Atmosphere. 3rd ed. Columbus: Charles E. 
Merrill Publishing Company. 

Barker, Kenneth; and others. 1985. The NIV Study Bible, New 
International Version. Grand Rapids, Michigan: Zondervan 



/a Kuufahamu U 



fupi Na Kwa 



Vielelezo Vya Picha 



Publishing House. 

Bodin, Svante. 1978. Weather and Climate. Poole, Dorest: Blandford 
Press Ltd. 

Cailleux, Andre'. 1968. Anatomy of the Earth. London: World 
University Library. 

Couper, Heather; and Nigel Henbest. 1995. The Space Atlas. 
London: Dorling Kindersley Limited. 

Davis, Richard A., Jr. 1972. Principles of Oceanography. Don Mills, 
Ontario: Addison-Wesley Publishing Company. 

Douglas, J. D.; and Merrill C. Tenney. 1989. NIV Compact 
Dictionary of the Bible. Grand Rapids, Michigan: Zondervan 
Publishing House. 

Elder, Danny; and John Pernetta. 1991. Oceans. London: Mitchell 
Beazley Publishers. 

Famighetti, Robert. 1996. The World Almanac and Book of Facts 
1996. Mahwah, New Jersey: World Almanac Books. 

Gross, M. Grant. 1993. Oceanography, a View of Earth. 6th ed. 
Englewood Cliffs: Prentice-Hall, Inc. 

Hickman, Cleveland P.; and others. 1979. Integrated Principles of 
Zoology. 6th ed. St. Louis: The C. V. Mosby Company. 

Al-Hilali, Muhammad T.; and Muhammad M. Khan. 1994. 
Interpretation of the Meanings of The Noble Quran in the English 
Language. 4th revised ed. Riyadh: Maktaba Dar-us-Salam. 

The Holy Bible, Containing the Old and New Testaments (Revised 



Wa Kuufahamu 







Kutumia Vielelez 


o \ ya P.cha 



Standard Version). 1971. New York: William Collins Sons & Co., 
Ltd. 

Ibn Hesham, Abdul-Malek. Al-Serah Al-Nabaweyyah. Beirut: Dar 
El-Marefah. 

The Islamic Affairs Department, The Embassy of Saudi Arabia, 

Washington, DC. 1989. Understanding Islam and the Muslims. 

Washington, DC: The Islamic Affairs Department, The Embassy of 

Saudi Arabia. 

Kuenen, H. 1960. Marine Geology. New York: John Wiley & Sons, 

Inc. 

Leeson, C. R.; and T. S. Leeson. 1981. Histology. 4th ed. 
Philadelphia: W. B. Saunders Company. 

Ludlam, F. H. 1980. Clouds and Storms. London: The Pennsylvania 
State University Press. 

Makky, Ahmad A.; and others. 1993. Ee'jaz al-Quran al-Kareem fee 
Wasf Anwa' al-Riyah, al-Sohob, al-Matar. Makkah: Commission on 
Scientific Signs of the Quran and Sunnah. 

Miller, Albert; and Jack C. Thompson. 1975. Elements of 
Meteorology. 2nd ed. Columbus: Charles E. Merrill Publishing 
Company. 

Moore, Keith L.; E. Marshall Johnson; T. V. N. Persaud; Gerald C. 
Goeringer; Abdul-Majeed A. Zindani; and Mustafa A. Ahmed. 1992. 
Human Development as Described in the Quran and Sunnah. 
Makkah: Commission on Scientific Signs of the Quran and Sunnah. 

Moore, Keith L.; A. A. Zindani; and others. 1987. Al-E'jaz al-Elmy 
fee al-Naseyah (The scientific Miracles in the Front of the Head). 
Makkah: Commission on Scientific Signs of the Quran and Sunnah. 



/a Kuufahamu U 



fupi Na Kwa Kutumia Vielelezo V, 



Moore, Keith L. 1983. The Developing Human, Clinically Oriented 
Embryology, With Islamic Additions. 3rd ed. Jeddah: Dar Al-Qiblah. 

Moore, Keith L.; and T. V. N. Persaud. 1993. The Developing 
Human, Clinically Oriented Embryology. 5th ed. Philadelphia: W. B. 
Saunders Company. 

El-Naggar, Z. R. 1991. The Geological Concept of Mountains in the 
Quran. 1st ed. Herndon: International Institute of Islamic Thought. 

Neufeldt, V. 1994. Webster's New World Dictionary. Third College 
Edition. New York: Prentice Hall. 

The New Encyclopaedia Britannica. 1981. 15th ed. Chicago: 
Encyclopaedia Britannica, Inc. 

No back, Charles R.; N. L. Strominger; and R. J. Demarest. 1991. The 
Human Nervous System, Introduction and Review. 4th ed. 
Philadelphia: Lea & Febiger. 

Ostrogorsky, George. 1969. History of the Byzantine State. 
Translated from the German by Joan Hussey. Revised ed. New 
Brunswick: Rutgers University Press. 

Press, Frank; and Raymond Siever. 1982. Earth. 3rd ed. San 
Francisco: W. H. Freeman and Company. 

Ross, W. D.; and others. 1963. The Works of Aristotle Translated 
into English: Meteorologica. vol. 3. London: Oxford University 
Press. 

Scorer, Richard; and Harry Wexler. 1963. A Colour Guide to Clouds. 
Robert Maxwell. 







■ 


M U C„ g O ZC 


^^a Kuufahamu Uislamu Kwa Ufupi Na Kwa Kutumia Vielelezo^ 


^ 



Seeds, Michael A. 1981. Horizons, Exploring the Universe. Belmont: 
Wadsworth Publishing Company. 

Seeley, Rod R.; Trent D. Stephens; and Philip Tate. 1996. Essentials 

of Anatomy & Physiology. 2nd ed. St. Louis: Mosby-Year Book, 

Inc. 

Sykes, Percy. 1963. History of Persia. 3rd ed. London: Macmillan & 

CO Ltd. 

Tarbuck, Edward J.; and Frederick K. Lutgens. 1982. Earth Science. 
3rd ed. Columbus: Charles E. Merrill Publishing Company. 

Thurman, Harold V. 1988. Introductory Oceanography. 5th ed. 
Columbus: Merrill Publishing Company. 

Weinberg, Steven. 1984. The First Three Minutes, a Modern View of 
the Origin of the Universe. 5th printing. New York: Bantam Books. 

Al-Zarkashy, Badr Al-Deen. 1990. Al-Borhan fee Oloom Al-Quran. 
1st ed. Beirut: Dar El-Marefah. 

Zindani, A. A. This is the Truth (video tape). Makkah: Commission 
on Scientific Signs of the Quran and Sunnah. 

Tuki, English-Swahili Dictionary Kamusi ya Kiingereza-Kiswahili, 
ya Institute of Kiswahili Research University of Dar es Salaam 1996. 

Kamusi ya Al-Muujamul al-Wajiizi ya Baraza la Lugha ya Kiarabu 
iliyochapishwa na wizara ya malezi na elimu mwaka 1417 h. Sawa 
na 1996 a.d, a. R. Egypt. 



Cambridge, International Dictionary of English. 1997 ad. 



Nambari za hadithi 1 

Nambari za hadithi zilizo katika kitabu hiki zinategemea mambo 
yafuatayo: 

■ Saheeh Muslim: kwa kulingana na namba za Muhammad F. 
Abdul-Baqy. 

■ Saheeh Al-Bukhari: kwa kulingana na namba za Fath Al- 
Bari. 

■ Al-Tirmizi: kwa kulingana na namba za Ahmad Shaker. 

■ Mosnad Ahmad: kwa kulingana na namba za Dar EhyaAl 
Torath Al-Araby, Beirut. 

■ Mowatta' Malek: kwa kulingana na namba za Mowatta' 
Malek. 

■ Abu-Dawood: kwa kulingana na namba za Muhammad 
Muhyi Al-Deen Abdul-Hameed. 

■ Ibn Majah: kwa kulingana na namba za Muhammad F. 
Abdul-Baqy. 

■ Al-Daremey: kwa kulingana na namba za Khalid Al-Saba Al- 
Alamy na Fawwaz Ahmad Zamarly. 



1 Hadithi, ambazo ni habari zilizonukuliwa kwa njia za kuaminika na wafuasi 
wa Mtume Muhammad «» habari za kile alichosema, tenda au kukiafiki. 



Wa Kuufahamu 







Kutumia Vielelez 


o \ ya P.cha